Ushauri unahitajika juu ya macbook pro

Ushauri unahitajika juu ya macbook pro

unamaanisha Dell XPS 15 na hiyo Mac kwamba Dell Ni ndogo au ?
Hapana namaanisha kucompare laptop kama hyo ya miaka kadhaa nyuma yenye cpu generation ya muda na dell xps15 ni kuionea macbook hyo
 
Hapana namaanisha kucompare laptop kama hyo ya miaka kadhaa nyuma yenye cpu generation ya muda na dell xps15 ni kuionea macbook hyo
oh ok...ni kweli Apple bidhaa zake unakuta ka perform vizuri Ila lazm ukutane na kimoja wapo Cha kizamani
 
oh ok...ni kweli Apple bidhaa zake unakuta ka perform vizuri Ila lazm ukutane na kimoja wapo Cha kizamani
Kwasababu kipya bei, mfano alizotoa mwaka jana unakuta milion 7 ni wachache wanaoweza kuafford wengi unakuta wanazo za 2014 -2016
 
Kwasababu kipya bei, mfano alizotoa mwaka jana unakuta milion 7 ni wachache wanaoweza kuafford wengi unakuta wanazo za 2014 -2016
Mimi nataka nunua pc yenye weak processor ambayo ni touch na slim sana yani yenye processor weak kweli maana mm kwangu charge ndo my first priority na uslim. Nliyo nayo naona imeanza kuchoka
 
nipo nayo macbook pro haisaport verson zaid ya 10.11.6 nikitaka ku aptdate haikubal mwenye kuihitaji
 
Back
Top Bottom