mapenz ki2 kingine jamani.me naamini ka jamaa anampenda hawez muacha ata fight for her.me nna dogo nae vivyo hivyo na wanamtoto na pande zote mbili hawajaafiki mahusiano lakini naamini wataamini na watakubali na kutoa baraka.so as to he.gud luck
Mwanamke abadilike maana mwanamke hana dini mpaka aolewe. Wanawake wengi kwa kupenda wanabadili dini kilaini tu. Hapa jamaa ameamua kulimaliza swala kiutu uzima ili demu asielewe.Kuna kitu alichoona jamaa kuwa in real life hawezi kuishi na rafiki yako ndio maana kashamwambia ndgu hawataki na kamwambia kuwa tayari there is sugested alternative. Kusema yule dada hampendi ni kisingizio tu mbele ya demu ili asijisikie inferior. Jamaa kagundua kitu kikubwa na rafiki yako asifikirie kuolewa na mshikaji ni ndoto.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.