Kama matatizo yameanza wakiwa bado hawajaingia kwenye ndoa na wakijaingia itakua je? Kilichopo asifikirie kwa sasa tu wafikirie na baadae itakua je wakiwa kwenye ndoa afu achukue uamuzi thabiti ambao hataujutia baadae
Rafiki yangu ana boyfriend ambae wanapendana sana tu,tatizo hawa watu kwanza wana dini tofauti mwanaume ni mkristo na msichana ni muslim shida imekuja mwanaume amewambia ndugu zake kuwa anataka kumuoa huyo binti kwa ndoa ya bomani ndugu wamekataa kabisa wanataka amuoe msichana wake wa mwanzo ambae ni mkristo km yy ila jamaa anasema huyo msichana hakuwa anampenda tangu mwanzo ila ndo ndugu wanamtaka huyo.na tatizo lingine alilogundua huyu rafiki yangu jamaa amepunguza mawasiliano nae wala hamtembeli tena akidai emechanganyikiwa hajui nini cha kufanya.sasa bint anauliza.VIPI AAMUE YY KUMUACHA JAMAA TU MANA ANAMUONA KAMA HANA MSIMAMO COZ HATA KAMA KUNA HILO TATIZO KWANINI ABADILIKE?MSHAURINI AU ASUBIRI TU MANA JAMAA AMEMUAMBIA ANAENDA KUONGEA NA NDUGU ZAKE KAMA WATARIDHIKA JUU YA HILO.
mabadiliko yanasababishwa na mengi ... inawezekana yeye rafikiyo anaona mabadiliko ya mwenzake kuliko ya kwake ...kwanza katika kipindi hiki ambapo kuna mgogoro huyo rafikiyo anatakiwa awe na mwenzi wake karibu sana na anatakiwa amshauri au washauriane nini kinatakiwa na kwa wakati gani, pia ni vyema wakawekana wazi kikwazi kiko kwa nani hasa sidhani kama ndugu wote ni kikwazo . je upande wa rafiki yako wanaridhia juu ya huyo bwana maana nimeona iko upande mmoja tu. na kwa nini afikiria kumwacha jamaa ilihali ndo safari inataka kuanza ??? je wao wamekubaliana kusimama kwa dini gani baaada ya ndoa??? watoto watafuata dini ya nani???
kwa upande wangu mm ninaona hata iwe vipi tatzo litabaki pale pale mana hata ndugu ya jamaa wakikubali bado ndoa yao itaendelea kuwa na tatzo kwny upande wa dini hvyo basi nivizur mmoja wapo akakubali kuingia kwny din nyngne kuliko ndoa kuwa vuguvugu na kama itashndikana nivizur kila mmoja achukuwe taimu yake mana wakiwa kwny ndoa matatzo yatakuwa makubwa mara nne ya sasa na hvyo jamaa anaongozwa na ndugu na kuwasikiriza ajiadhar sana huyo rafiki yako
aliyebadilika siyo rafiki yangu ni mwanaume ndo amebadilika baada yakuwaeleza ndugu zake,na mwanamke hana tatizo yko tayari kumpa sapoti yoyote kwa kipindi hiki na upo sahihi kabisa ila anashangaa jamaa amebadilika kwenye hiki kipindi cha matatizo,kuhusu upande wa mwanamke bado hawajaeleza wazazi wake akasikia wanasemaje ila baadhi ya ngugu zake aliwaeleza na hawana tatizo na hiyo imani na kuhusu watoto wataifata imani ya baba hilo lilikuwa lipo wazi na pia halikuwa na shida kihivyo.anafikiria kumuacha coz anahisi jamaa km ana fikiria hivyo kwanini sasa abadilike
tatizo hawa watu kwanza wana dini tofauti mwanaume ni mkristo na msichana ni muslim.
mwanaume amewambia ndugu zake kuwa anataka kumuoa huyo binti kwa ndoa ya bomani ndugu wamekataa kabisa wanataka amuoe msichana wake wa mwanzo ambae ni mkristo km yy, ila jamaa anasema huyo msichana hakuwa anampenda tangu mwanzo ila ndo ndugu wanamtaka huyo. .
Na tatizo lingine alilogundua huyu rafiki yangu jamaa amepunguza mawasiliano nae wala hamtembeli tena akidai emechanganyikiwa hajui nini cha kufanya..
..Sasa bint anauliza, VIPI AAMUE YY KUMUACHA JAMAA TU MANA ANAMUONA KAMA HANA MSIMAMO COZ HATA KAMA KUNA HILO TATIZO KWA NINI ABADILIKE?
Habari zenu wana jf,kuna rafiki yangu wa karibu sana amepata tatizo hili hapa na anaomba mumsaidie ushauri.naomba ambae hayuko serious asichangie kabisa.
Rafiki yangu ana boyfriend ambae wanapendana sana tu, tatizo hawa watu kwanza wana dini tofauti mwanaume ni mkristo na msichana ni muslim shida imekuja mwanaume amewambia ndugu zake kuwa anataka kumuoa huyo binti kwa ndoa ya bomani ndugu wamekataa kabisa wanataka amuoe msichana wake wa mwanzo ambae ni mkristo km yy, ila jamaa anasema huyo msichana hakuwa anampenda tangu mwanzo ila ndo ndugu wanamtaka huyo.
Na tatizo lingine alilogundua huyu rafiki yangu jamaa amepunguza mawasiliano nae wala hamtembeli tena akidai emechanganyikiwa hajui nini cha kufanya. Sasa bint anauliza, VIPI AAMUE YY KUMUACHA JAMAA TU MANA ANAMUONA KAMA HANA MSIMAMO COZ HATA KAMA KUNA HILO TATIZO KWA NINI ABADILIKE?
MSHAURINI AU ASUBIRI TU MANA JAMAA AMEMUAMBIA ANAENDA KUONGEA NA NDUGU ZAKE KAMA WATARIDHIKA JUU YA HILO.
Habari zenu wana jf,kuna rafiki yangu wa karibu sana amepata tatizo hili hapa na anaomba mumsaidie ushauri.naomba ambae hayuko serious asichangie kabisa.
Rafiki yangu ana boyfriend ambae wanapendana sana tu, tatizo hawa watu kwanza wana dini tofauti mwanaume ni mkristo na msichana ni muslim shida imekuja mwanaume amewambia ndugu zake kuwa anataka kumuoa huyo binti kwa ndoa ya bomani ndugu wamekataa kabisa wanataka amuoe msichana wake wa mwanzo ambae ni mkristo km yy, ila jamaa anasema huyo msichana hakuwa anampenda tangu mwanzo ila ndo ndugu wanamtaka huyo.
Na tatizo lingine alilogundua huyu rafiki yangu jamaa amepunguza mawasiliano nae wala hamtembeli tena akidai emechanganyikiwa hajui nini cha kufanya. Sasa bint anauliza, VIPI AAMUE YY KUMUACHA JAMAA TU MANA ANAMUONA KAMA HANA MSIMAMO COZ HATA KAMA KUNA HILO TATIZO KWA NINI ABADILIKE?
MSHAURINI AU ASUBIRI TU MANA JAMAA AMEMUAMBIA ANAENDA KUONGEA NA NDUGU ZAKE KAMA WATARIDHIKA JUU YA HILO.