Ushauri unahitajika hapa

Huyo mwanamke nae mnafki tuu, yupo hapo sababu ya pesa aende wapi aache pesa ila ndo ivo Tena kumbe mumewe bwabwa na pengine ndo ajenda zao za kupata utajiri
Hapo Hana ujanja na yeye huyo mwanamke ipo siku watamfira tuu sababu ya tamaa zake, kinachofuata Sasa ni yeye kumsaga mumewe ili apewe anaconda ya pili.
 
Ni kweli kabisa ila kuvunja ndoa , kwanza dada hana ushahidi zaidi ya kusikia tu na kuona mume wake ana pigo za ajabu ajabu , pili mumewe ni mchungaji na ndoa yao imeshikilia kazi ya muwe wake , tatu dada hana kazi na wanawatoto wa 3 , wawili wapo shule za ghali ,na mumewe ndio mlipa ada kwa kazi ya uchungaji.

Binafsi aliniomba ushauri nikaishia kumwangalia tuπŸ˜‹πŸ˜‹, kwa sababu yule dada alikua kakamilika kama mwanamke mrembo na mwenye mvuto , nikaishia kusema kimoyo moyo tu huyu mchungaji kiazi kweli.
 
Ukiona anajuta kweli na yuko tayari kubadilika, mnaweza jaribu kurekebisha kwa ajili ya watoto. Ila kama ni story tu na heshima imepotea, jipende, linda amani yako, maana kuvumilia bila heshima ni kujitesa bure. watoto wakija kugundua baba yao analimwa watamchukia na itawaathiri sana, kubadilika ngumu huenda hata utajiri au mali zake amezipata kwa njia hiyo ya mkato. Anakukula unamnyonya naye anaenda nyonya mkundu wa mwanaume akija anakupa Romance unasikia viharufu vya nya
 
Ndiomana nilisema sasa hivi bikra kwa wanaume ni muhimu kuliko wanawake..!!

Mambo ndo kama hayo mume kizibo kimezibuliwa..!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ yaan uduguu, Dunia ishapinduka hii, mume nae ana mume wake.
Woiiiiih, nacheka hadi baas.
 
Hujatoa suluhisho, umemshauri aondoke, vipi huko aendako, maisha yatakuajee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…