Kwa msisi yetu
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 811
- 1,387
Habari Wanabodi,
Naomba ushauri, kuna mdogo wangu yeye ni Mwalimu wa Sekondari alimaliza Chuo Kikuu SAUT mwaka 2014 na kuajiriwa Serikalini mwaka uliofuata 2015, alichukua Education Masomo ni Economics & Geography.
Mwaka kesho amepanga kwenda kusoma Shahada ya Pili, akanifata kuniomba ushauri akasomee nini ikizingawa kuwa yeye tayari ni mwajiriwa-mwalimu.
Kwa kweli imeniwia vigumu sana kumshauri huyu dogo nini akasome,kuna wakati nilifikiri aachane kabisa na ualimu kwa maana ya atose kabisa kuchukua kozi ya Education tena nikajihisi nitamshauri vibaya. Kwa kuwa JF ina wataalamu mbalimbali ni matarajio yangu kuwa mawazo mazuri yatapatikana.
Kwa vile alivyojichanga anatamani kwenda nje ya nchi angalau ndani ya EA Community ,University of Nairobi au Makerere University.
Karibuni kwa mawazo.
Naomba ushauri, kuna mdogo wangu yeye ni Mwalimu wa Sekondari alimaliza Chuo Kikuu SAUT mwaka 2014 na kuajiriwa Serikalini mwaka uliofuata 2015, alichukua Education Masomo ni Economics & Geography.
Mwaka kesho amepanga kwenda kusoma Shahada ya Pili, akanifata kuniomba ushauri akasomee nini ikizingawa kuwa yeye tayari ni mwajiriwa-mwalimu.
Kwa kweli imeniwia vigumu sana kumshauri huyu dogo nini akasome,kuna wakati nilifikiri aachane kabisa na ualimu kwa maana ya atose kabisa kuchukua kozi ya Education tena nikajihisi nitamshauri vibaya. Kwa kuwa JF ina wataalamu mbalimbali ni matarajio yangu kuwa mawazo mazuri yatapatikana.
Kwa vile alivyojichanga anatamani kwenda nje ya nchi angalau ndani ya EA Community ,University of Nairobi au Makerere University.
Karibuni kwa mawazo.