Ismail Khalid
Member
- May 10, 2021
- 16
- 22
Habari wakuu?
Naombeni ushauri, wish yangu inakula lt1 km4 tatzo itakua nini?
Wataalamu nisaidieni.
Naombeni ushauri, wish yangu inakula lt1 km4 tatzo itakua nini?
Wataalamu nisaidieni.
DuuDah kazi unayo... Peleka garage tafuta fundi wa maana akufanyie diagnosis ya maana... Hapa tutakua tunabahatisha tu bila Kuona gari
Niliwahi kuazima gari ya mtu ilikua na miss ya kijinga sana yaani mafuta ilikua inakunywa bila huruma nikapaki mahali nikatafuta fundi akaja uzuri akajua shida ni nini aliporekebisha safari ikawa tamu mafuta yakawa yanaenda kawaida tu
Duuh yaani 4km tu litres 1 inakata? Kamuone fundi bro.Habari wakuu?
Naombeni ushauri, wish yangu inakula lt1 km4 tatzo itakua nini?
Wataalamu nisaidieni.
Sababu zinazopelekea kula mafuta ni nyingi.Habari wakuu?
Naombeni ushauri, wish yangu inakula lt1 km4 tatzo itakua nini?
Wataalamu nisaidieni.
Inawaka kawaida,na nguvu ni nzr kabsa na Haina mis yoyote,Sababu zinazopelekea kula mafuta ni nyingi.
Tafuta fundi aione gari. Hapa hutapata ushauri wa maana zaidi ya huo, 7bu hujatoa maelezo ya namna gari yako unaihisi vipi unapoendesha. Eg, haina nguvu/inachelewa kuwaka hadi ukanyagie, nk. Bila kuoata maelezo mazuri, unaweza ukahukumu engine kwa tatizo la gear box.