rav 4 ni moja ya magari yaliyouzika sana hapa tz na africa kutoka kampuni ya toyota. yana spea nyingi ajabu. ni very smooth na hayana shobo ilimradi serice tu....... nunua mzeee. ninamiliki ya 1998 rav 4 junior
Shukrani Mkuu, lakini vipi kuhusu unywaji wa mafuta? Je ni gari ambayo mtu wa kipato cha kawaida anaweza kuimudu ?
Ashindwe tu mwenyewe kama ni maelezo kapata ya kina!!Inakula mafuta vizuri kutegemea na matumizi yako......bora tu iwe katika hali nzuri.....si unajua gari ikiwa mbovu ndio inabugia mafuta........
Inakula mafuta vizuri kutegemea na matumizi yako......bora tu iwe katika hali nzuri.....si unajua gari ikiwa mbovu ndio inabugia mafuta........
Shukrani sana Preta. Twende kwenye specifics, inatumia lita ngapi kwa kilometa? Gari ndogo kwa mfano zenye injini 1.5L zinakwenda kilomita 10,11,12, nyingine mpaka 16,17 kwa lita. Hizi RAV4 zikoje ?
Samahani kwa maswali mengi, ni katika hali ya kutaka kujua...ili niweze kujipanga.
Nimenunua 2008, mpaka leo naifurahia kwa kila kitu spea, mafuta, imetulia yeah... ni gari hutakaa ujute kuimiliki go and take it!
RAV4 Nyingi ni cc1998 (2000) kuanzia km7 kwa isiyo na service(mbovu) mpaka km13 kwa lita
Ndugu wana JF,
Kwa wale wote ambao wamewahi kumiliki au wanamiliki Toyota RAV4 hizi tafadhali naomba uzoefu wenu kuhusu unywaji wa mafuta, uhimili wa gari katika barabara zetu za bongo, upatikanaji wa spea, na gharama za matunzo kwa ujumla.
1. Toyota RAV4 (1995 -1999, 3S-FE 2.0L engine, 4WD)
2. Toyota RAV4 (2000 - 2003, 1ZZ-FE 1.8L engine, 2WD)
Natanguliza shukrani zangu.
Nina experience na Rav 4 1ZZ vvTi 1.8L 2002, full kiyoyozi inaenda 11km per litre (nimetumia kwa mwaka na nusu, I know what am saying)! Full Tank nafika Moshi Marangu nikienda mdogo mdogo 100 - 130km/hr!
Nina experience na Rav 4 1ZZ vvTi 1.8L 2002, full kiyoyozi inaenda 11km per litre (nimetumia kwa mwaka na nusu, I know what am saying)! Full Tank nafika Moshi Marangu nikienda mdogo mdogo 100 - 130km/hr!
Shukrani Elia. Matumizi ya mafuta kwa wiki yakoje ? Spea bei zake zikoje ? Na vipi kuhusu re-sale value kama ukitaka kuiuza? Maana unaweza kuwa na gari halafu inakuwa kimeo kuiuza.
Ndugu wana JF,
Kwa wale wote ambao wamewahi kumiliki au wanamiliki Toyota RAV4 hizi tafadhali naomba uzoefu wenu kuhusu unywaji wa mafuta, uhimili wa gari katika barabara zetu za bongo, upatikanaji wa spea, na gharama za matunzo kwa ujumla.
1. Toyota RAV4 (1995 -1999, 3S-FE 2.0L engine, 4WD)
2. Toyota RAV4 (2000 - 2003, 1ZZ-FE 1.8L engine, 2WD)
Natanguliza shukrani zangu.
Mkuu......Rav4 haijawahi kuchuja....inauzika wakati wote.....kuhusu spare jaribu kufunga spare genuine.......utasahau ...... Zinapatikana kila mahali...binafsi kukushauri......go for it....
Mkuu Riwa kuna tofauti kubwa sana kati ya matumizi ya mjini (folen na mengine) na kusafiri masafa....
Mimi nilikua na escudo, matumizi ndani ya jiji la dar ilikua km 7 hadi 8 kwa lita, ila siku nilipoenda nayo moshi, fuel consumption ilipanda hadi km 12 kwa lita!
Sasa hiyo 11km/l ni matumizi yapi hasa.....nadhani interest kubwa ya Kongosho itakua kwa mjini (worst scenario).
Engine ya 3S ya kwenye hiyo gari ndio iko kwenye Noah za 1996-1999, ni engine nzuri sana. Haili sana mafuta. Kwa mwendo wa 60-80 kph inakwenda hadi kilometa 9-10 kwa lita. Ila kwa kuwa hiyo ya kwako ni full time 4WD, nadhani itakuwa chini ya hapo. Kuhusu vipuri, viko vingi sana. Uzuri wa Toyota ni kwamba gari nyingi zinatumia vipuri vinavyofanana, hasa vya engine. Nunua tu.Shukrani Mkuu, lakini vipi kuhusu unywaji wa mafuta? Je ni gari ambayo mtu wa kipato cha kawaida anaweza kuimudu ?