Service charge = Capacity charge
Kama ni nguzo unanunua
Waya, mita na kila kitu unanunua kwa gharama halisi wanayopanga wao.
Bei ya unit moja ya umeme wanapanga wao na serikali yao.
Wanalipa mamilioni kwa akina Songas kifisadi
Hiyo service charge ni kwaajili ya??? kVA?
Kaangalie maisha ya kuanzia senior staffs mpaka MD, ufananishe na vipato vyao vya mwezi, kisha uje useme shirika halina uwezo wa kumhudumia mwananchi mtoa kodi aliye mbali na ofisi zai kisa wao hawastahili kuwa na ofisi remote area!
Kamuulize Ngeleja na Kazaula, Muhongo na Maswi, Mhando na Jei, Sa..ma na Greenbird, Ruge na Singh. Wakiwa na maoni ya kuwa shirika linahitaji service charge kutuhudumia, basi hamna budi irudishwe.