Nina mdogo wangu alizaa na kaka mmoja na kukataa ujauzito na hata alipojifungua kupelekewa mtoto akawa anajibu mtoto sio wangu,kamtafute baba yake,hana cha huduma walanini, mtoto akiumwa akipigiwa simu anajibu mwache afe, mkimkalisha vikao anahaidi kumhudumia mtoto lakini,akitoka hana habari,kashaitwa ofisi za Ustawi wa jamii hataki.
Basi ndugu yangu tukamwambia pumzika mama tutalea mtoto, sasa ajabu ni kwamba sasa hivi baba wa yule mtoto anakuja na kumdai mtoto tena kinguvu, namtaka mtoto wangu, na vitisho kibao usiponipa mwanangu utaona na mtoto ana miaka minne sasa,sasa hivi anatumia watu waliokaribu na mama wa mtoto wanampiga picha na kumtumia huyo kaka anakazana kuchange profile huko Whatsup.
Kiufupi ameshamtamkia mama wa mtoto kuwa mwanangu nitamchukua kwa vyovyote akiwa mzima au amekufa,akiambiwa suala la kulipa fidia anakujibu sijawahi kulipa fidia kwa mtoto na hakuna nilikozalisha nikalipa fidia na kwa kifupi huwa sizuiwi kuchukua mtoto pale ninapomtaka,kuhudumia sihudumii na fidia sitoi, na mtoto nitamchukua,siwezi lipa fidia maana nitakuwa kama nanunua mtoto wangu,nisaidien wataalamu wa sheria nini kifanyike hapa? Maana kuna muda tunaona kama mwanga vile.
Basi ndugu yangu tukamwambia pumzika mama tutalea mtoto, sasa ajabu ni kwamba sasa hivi baba wa yule mtoto anakuja na kumdai mtoto tena kinguvu, namtaka mtoto wangu, na vitisho kibao usiponipa mwanangu utaona na mtoto ana miaka minne sasa,sasa hivi anatumia watu waliokaribu na mama wa mtoto wanampiga picha na kumtumia huyo kaka anakazana kuchange profile huko Whatsup.
Kiufupi ameshamtamkia mama wa mtoto kuwa mwanangu nitamchukua kwa vyovyote akiwa mzima au amekufa,akiambiwa suala la kulipa fidia anakujibu sijawahi kulipa fidia kwa mtoto na hakuna nilikozalisha nikalipa fidia na kwa kifupi huwa sizuiwi kuchukua mtoto pale ninapomtaka,kuhudumia sihudumii na fidia sitoi, na mtoto nitamchukua,siwezi lipa fidia maana nitakuwa kama nanunua mtoto wangu,nisaidien wataalamu wa sheria nini kifanyike hapa? Maana kuna muda tunaona kama mwanga vile.