Ushauri tafadhali

Ushauri tafadhali

kama unaishi dsm, gari ni necessity sio anasa kwa hiyo nashauri nunua gari ya kawaida tu ( not your dream car just a normal fuel efficient car) itakayobaki nunua kiwanja anza kujenga taratibu.

Biashara kama huna total control sikushauri
 
Habari ya weekend wapendwa, mm ni mwanamke mwenye umri wa miaka 27 nna mtoto mmoja na mm ni single parent. Nashukuru Mungu nna kazi nzuri inayonilipa vizuri(private sector). Nimejiwekea vijipesa vyangu na sasa angalau nina amount kubwa. Nlikuwa naomba ushauri ndugu zangu, eti nifanye kipi kati ya haya
* ninunue kiwanja nianze kujenga
*ninunue gari nliyokuwa natamani kwa muda mrefu
*nitafute biashara ya kufanya
NB:hyo pesa inatosha kufanya kimoja tu kati ya hivyo

Natanguliza shukrani.

Nunua kiwanja jenga nyumba za kupanga pokea kodi itakuongezea kipato
 
Aridhi, aridhi, aridhi. Kama mtu ana mapesa lakini hana aridhi, huyo bado ni maskini. Watu wanahodhi aridhi siyo magari. Why? Because ktk aridhi ndipo unapotoka utajiri. Nunua aridhi mdada popote inapopatikana. Magari yapo hayaishi. Kama ulikuwa unatembea basi anza kukimbia ukiitafuta aridhi. Kila la kheri
 
NB: kumbuka aridhi unayonunua Leo may be kwa 10M, baada ya mwaka mmoja inaweza kuuzwa kwa 30M bila presha! So tuliza boli,acha kukimbilia presha za ajari na uncertainties za biashara. Again, kila LA kheri. Kumbuka kununua aridhi popote inapopatikana.
 
NB: kumbuka aridhi unayonunua Leo may be kwa 10M, baada ya mwaka mmoja inaweza kuuzwa kwa 30M bila presha! So tuliza boli,acha kukimbilia presha za ajari na uncertainties za biashara. Again, kila LA kheri. Kumbuka kununua aridhi popote inapopatikana.

Ardhi....
 
Maisha ni nyumba bidada.Jenga kwanza hayo mengine utafanya baadae
 
Back
Top Bottom