Mh nina mengi ya kukushauri ila ndo hivyo nimefunga sitaki kuharibu swaum yangu.
Sent From Galaxy S9
Mkuu.Wasalaam wandugu...
Kabla sijamwoa alinijua kuwa Mimi ni muislam,aliniahidi kubadili dini ila nimpe mda.maisha yamesonga miaka imepita tumejaaliwa kuwa na familia
Siku za hivi karibun mwenzangu nikaona amenunua kitabu Cha tenzi za rohoni ...baada ya chakula cha jioni anaanza mapambio ndani...anakemea mapepo juzi Kati kaenda kanisani na kujitambulisha ameokoka.namuuliza mbona unavunja makubaliano anadai yeye uislam hauwez...niko njia panda hapa nawaza watoto ...sijui nifanyaje.wazazi wake hawanipi ushirikiano wowote.nisaidien tafadhal
Kwamba apige chini huu nao ni ushauri kweli? Au bomu,Ungelijua madhara wanayo pata watoto hata usinge sema ndugu.Mbona mnapendaga kujitesa sana wakati solutions ziko very open?.....
Kama kavunja makubaliano ya mwanzo basi piga chini kama na wewe huwezi kubadili dini.....
Simple like that, maisha yenyewe haya mafupi ya nini kuyafanya yawe magumu?....
Unforgetable
Hawa wanawake wa siku hizi wamejipanga ukileta haya mambo ya vunja uhusiano anakurudisha zero,nimeona jamaa yangu yalimkuta haya.Mbona mnapendaga kujitesa sana wakati solutions ziko very open?.....
Kama kavunja makubaliano ya mwanzo basi piga chini kama na wewe huwezi kubadili dini.....
Simple like that, maisha yenyewe haya mafupi ya nini kuyafanya yawe magumu?....
Unforgetable
Asikudanganye MTU akakwambia atabadili dini kwenye mahusiano,hata akibadili atarudi kwenye imani yake ya awali......mkuu hapo hamna namna mkubaliane tu japo mnawasumbua watoto wenuWasalaam wandugu...
Kabla sijamwoa alinijua kuwa Mimi ni muislam,aliniahidi kubadili dini ila nimpe mda.maisha yamesonga miaka imepita tumejaaliwa kuwa na familia
Siku za hivi karibun mwenzangu nikaona amenunua kitabu Cha tenzi za rohoni ...baada ya chakula cha jioni anaanza mapambio ndani...anakemea mapepo juzi Kati kaenda kanisani na kujitambulisha ameokoka.namuuliza mbona unavunja makubaliano anadai yeye uislam hauwez...niko njia panda hapa nawaza watoto ...sijui nifanyaje.wazazi wake hawanipi ushirikiano wowote.nisaidien tafadhal
Ukifunga huruhusiwi kutoa ushauri?Mh nina mengi ya kukushauri ila ndo hivyo nimefunga sitaki kuharibu swaum yangu.
Sent From Galaxy S9
Achana nae huyo atakusumbua na atawapoteza watoto hayo ndio matatizo ya kua wasio aminiWasalaam wandugu...
Kabla sijamwoa alinijua kuwa Mimi ni muislam,aliniahidi kubadili dini ila nimpe mda.maisha yamesonga miaka imepita tumejaaliwa kuwa na familia
Siku za hivi karibun mwenzangu nikaona amenunua kitabu Cha tenzi za rohoni ...baada ya chakula cha jioni anaanza mapambio ndani...anakemea mapepo juzi Kati kaenda kanisani na kujitambulisha ameokoka.namuuliza mbona unavunja makubaliano anadai yeye uislam hauwez...niko njia panda hapa nawaza watoto ...sijui nifanyaje.wazazi wake hawanipi ushirikiano wowote.nisaidien tafadhal
Kwa Nini abadili Dini??? Ndoa ndio imfanye abadili alichokuwa anaamini toka amezaliwa?? Ngumu Sana. Kila mmoja abaki na Dini yake. Maisha yaendelee.Wasalaam wandugu...
Kabla sijamwoa alinijua kuwa Mimi ni muislam,aliniahidi kubadili dini ila nimpe mda.maisha yamesonga miaka imepita tumejaaliwa kuwa na familia
Siku za hivi karibun mwenzangu nikaona amenunua kitabu Cha tenzi za rohoni ...baada ya chakula cha jioni anaanza mapambio ndani...anakemea mapepo juzi Kati kaenda kanisani na kujitambulisha ameokoka.namuuliza mbona unavunja makubaliano anadai yeye uislam hauwez...niko njia panda hapa nawaza watoto ...sijui nifanyaje.wazazi wake hawanipi ushirikiano wowote.nisaidien tafadhal