Wakuu naomba ushauri wenu kwa mwenye uzoefu wa haya Magari ya SUZUKI SWIFT na TOYOTA VITZ. Ni gari gani zuri kwa utumiaji wa mafuta na kuhimili changamoto za barabara mbovu za vijijini. Nina bajeti ya Milioni nane nahitaji kununua kati ya hayo mawili lakini sina uzoefu.
Tafadhali sana naomba ushauri wenu.
Tafadhali sana naomba ushauri wenu.