Ushauri: Slaa agombee uenyekiti CHADEMA

Ushauri: Slaa agombee uenyekiti CHADEMA

Kutokana na umahiri aliouonyesha mh.slaa kiasi cha yeye kuwa ndio kama nembo ya chama kwa sasa na ili kuepusha makundi na kuondoa mpasuko unaokinyemelea chadema nadhani ni wakati muafaka na pia kwa maslahi ya chama Dr. Slaa agombee uenyekiti wa chama na Mh. Mabere Marando agombee ukatibu mkuu wa chama.

Nina imani hawa wawili wakifanya kazi pamoja kutokana na ukaribu wao chadema itafika mbali sana na kuondoa dhana kwamba chadema ni chama cha kabila fulani tu.

Nawasilisha.
mawazo yako ni mazuri ila huo ukabila wanauona ccm tu na kusahau kuwa majimbo yote hayatawaliwi na wachaga likiwepo iringa kwa kamanda msigwa.ccm wajtafakari yao ya kuwa chama cha matajiri na mtaji wao mkubwa kuwa wananchi maskini wa Tanzania.Hasa wakifikilia kukomboa jimbo badala ya kuwakomboa wananchi ambao wao ccm ndio chanzo cha umaskini huo.
 
issue ya gesi mngewaachia cuf na wapiga kura wao maana huko kusini chadema hata ijipendekeze vipi ni ngumu sana kukubalika,cdm ijikite kuelezea itakachowafanyia watanzania sio kudandia dandia matukio huo ndio ushauri wangu anaenuna anune anaecheka acheke habari ndio hiyo bandugu wapendwa na pia mjipange safari hii kusimamisha wagombea ubunge kwenye kila eneo bunge ili kuonyesha kweli ni chama cha kitaifa sio kusimamisha wagombea kila jimbo huko kaskazini mwa tanzania mikoa ya kilimanjaro na arusha tu
Huna jipya wewe.!!kwa hiyo kwa akili yako hiyohiyo ndogo Cuf ndio umeona ni Chama chenye wabunge kila kona ya nchi?
Cd ya Ukanda ilisha chuja zamani sana ,tafuteni nyingine ya kutokanayo acheni Kuweweseka!
Kama chadema ni cha Kaskazini,imekuwaje iwe na wabunge, Mbeya, Iringa, Rukwa, Singida, Shinyanga,Kigoma,Musoma, Mwanza nk.!!
Kajipange upya na Mashuzi yako!
MUNGU IBARIKI TANZANIA!!!
MUNGU IBARIKI CHADEMA!!!
 
Tatizo lenu cdm,mtu akiwa na mawazo tofauti lazima mumtukane,kweli mtwara hamna wafuasi ni kama hakipo,sa hutaki kuambiwa ukweli? Back to topic kweli slaa awe mwenyekiti ili ubabe uwe usio kifani,na mama etu jose apate jeuri zaid ya kuwapeleka puta.
 
Back
Top Bottom