Ushauri: Slaa agombee uenyekiti CHADEMA

Ushauri: Slaa agombee uenyekiti CHADEMA

Uchaguzi unafanyika lini? Labda wenyewe Chadema wameshajipanga kwa kuwa wanafahamiana zaidi ndani ya chama. Tunataka chama kiwe na nguvu zaidi baada ya uchaguzi bila kujali nani anakamata wadhifa upi. Sekretariet ya Chadema tusaidieni.
 
Kutokana na umahiri aliouonyesha mh.slaa kiasi cha yeye kuwa ndio kama nembo ya chama kwa sasa na ili kuepusha makundi na kuondoa mpasuko unaokinyemelea chadema nadhani ni wakati muafaka na pia kwa maslahi ya chama Dr. Slaa agombee uenyekiti wa chama na Mh. Mabere Marando agombee ukatibu mkuu wa chama.

Nina imani hawa wawili wakifanya kazi pamoja kutokana na ukaribu wao chadema itafika mbali sana na kuondoa dhana kwamba chadema ni chama cha kabila fulani tu.

Nawasilisha.

Duh!

USHINDWE NA ULEGEE!!!!

MAGAMBA kaaazi kweli kweli!!!! Kila kukicha mmekuwa wasemaji na washauri wa CHADEMA!!!!???? Mbona MAGAMBANI ufedhuli umetamalaki lakini hamtoi ushauri?

CHADEMA huongozwa na KATIBA, na hivyo kila kitu kinachohusu CHADEMA, KATIBA ndiyo muongozo na pia kulingana na Mazingira ya wakati huo inavyo paswa kuwa.

Hayo ya kushauri sijui nani awe Mwenyekiti, sina hakika kwamba CHADEMA tumeliona hilo!!! CHADEMA kama Chama makini, huwa kinafanya maamuzi kulingana na hitaji la kimazingira na kwa kuongozwa na KATIBA. Zaidi ya hapo ni sawa na kuilazimisha CHADEMA kula nyama ya mtu, kitu ambacho si sahihi.

Au kwa vile MAGAMBA wamebadilisha Makatibu Wakuu kibao, basi na CHADEMA chama makini kifuate upuuzi huo? Kwa taarifa yako hapa ndipo utofauti wa CHADEMA na MAGAMBAZ unapoonekana.
 
Kutokana na umahiri aliouonyesha mh.slaa kiasi cha yeye kuwa ndio kama nembo ya chama kwa sasa na ili kuepusha makundi na kuondoa mpasuko unaokinyemelea chadema nadhani ni wakati muafaka na pia kwa maslahi ya chama Dr. Slaa agombee uenyekiti wa chama na Mh. Mabere Marando agombee ukatibu mkuu wa chama.

Nina imani hawa wawili wakifanya kazi pamoja kutokana na ukaribu wao chadema itafika mbali sana na kuondoa dhana kwamba chadema ni chama cha kabila fulani tu.

Nawasilisha.
Watu wengine bwana,!! Ukijisikia Kunya si uende Chooni?? Kwani ni lazima ulete UHARO wako huku JamiiForum???

Eti Dk SLAA agombee,Uenyekiti,na Marando awe Katibu Mkuu! Ili kuondoa Mpasuko na Hisia kwamba CDM ni Chama cha Kabila Fulani!!! Shame on You Gamba!!!!

Wewe ni nani aliye kuambia kwamba Chadema kuna Mpasuko,? Na kama kunayo inakuhusu nini?
Si uende kule UDP,SAU,TPP maendeleo,TLP,CHAUSTA,CUF nk,ambako CCM hawaangaiki nao,uwaambie Wabadilishe Wenyeviti kama kweli,dhamira yako ni ya dhati kwa Upinzani,na sio ya Kinafiki kama unavyoonyesha kwa huu Upuuzi ulioupost kuhusu Chadema!!

Chadema hatuko tayari kuucheza Music,wa Mafisadi [CCM]na Mamluki kama wewe unaetujia na Cd ya Kujidai eti unatoa Ushauri!


Siku zote mtu mnafiki utamjua kwa Maneno na Mawazo yake.

Unataka kusema kwamba wewe hujui kuwa Chadema,kimepata kua Chama makini na na Tishio kwa Ccm chini ya Mwenyekiti wa sasa,MBOWE na Katibu Mkuu Dk SLAA!?
Kama Dk SLAA atakuwa Mwenyekiti na Mbowe atakua nani?

Chadema bado kina Muhitaji Mbowe na Mbowe bado anakihitaji CDM,ili kuendelea kujenga Chama imara kisichoyumbishwa, na Mafisadi Ccm.

Tunaona jinsi ambavyo Kina Mwigulu MZINZI, Nape na Wassira wanakazana kuaminisha Wadanganyika Kuwa Chadema ni Chama cha Udini, Ukanda, Ukabila na Fujo! Lakini Propaganda zao hizi Nyepesi zimeshindwa.

Niliwahi kusema humuhumu JF,kwamba Watu Wapuuzi wamekuwa wakitumia baadhi ya Vyombo vya habari,na Wahandishi Uchwara na wenye njaa kujaribu Kumchafua Dk SLAA na Chadema!!

Lakini mwaka huu Habari zao,za Uwongo na unafiki hazitakua na Tija kwa Watanzania,wala hazitakua tena ni habari!

Habari mwaka huu ni Kuhusu Kusini na Gesi yao,.!
Sasa kama Mwigulu MZINZI,Nape na WASSIRA ni Wazingumzaji wazuri sana kama tunavyoonaga Wakiisakama Chadema na Dk SLAA,basi tuwaone na sasa wakitumia muda wao kuelezea Wanakusini,kwani wao CCM na Serikali wanaona kuwa Bomba la Gesi ni lazima lije Dar!!

MUNGU IBARIKI TANZANIA!!!
MUNGU IBARIKI CHADEMA!!!
 
Au kwa vile huko MAGAMBANI kwenu mmezoea kubadilisha Makatibu Wakuu kwa sababu za kupwaya, basi lazima na CHADEMA kibadilishe Katibu Mkuu????

CHADEMA mambo hayaendi hivyo. Udhaifu wa MAGAMBANI usitake uwe ndiyo muongozo kwa CHADEMA. Kama chama makini, CHADEMA kina taratibu zake. Hivyo kila jambo litashungulikiwa kulingana na matakwa ya Katiba na hali ya Kimazingira na sio kwa sababu MAGAMBA wanafanya vile basi na CHADEMA kifanye vivyo hivyo. Hapo ndiyo unauona UTOFAUTI wa CHADEMA na MAGAMBACCM.

na pia nitauona ulinganifu wa cuf na cdm kwenye eneo la makatibu wakuu wa maisha!
 
Watu wengine bwana,!! Ukijisikia Kunya si uende Chooni?? Kwani ni lazima ulete UHARO wako huku JamiiForum???

Eti Dk SLAA agombee,Uenyekiti,na Marando awe Katibu Mkuu! Ili kuondoa Mpasuko na Hisia kwamba CDM ni Chama cha Kabila Fulani!!! Shame on You Gamba!!!!

Wewe ni nani aliye kuambia kwamba Chadema kuna Mpasuko,? Na kama kunayo inakuhusu nini?
Si uende kule UDP,SAU,TPP maendeleo,TLP,CHAUSTA,CUF nk,ambako CCM hawaangaiki nao,uwaambie Wabadilishe Wenyeviti kama kweli,dhamira yako ni ya dhati kwa Upinzani,na sio ya Kinafiki kama unavyoonyesha kwa huu Upuuzi ulioupost kuhusu Chadema!!

Chadema hatuko tayari kuucheza Music,wa Mafisadi [CCM]na Mamluki kama wewe unaetujia na Cd ya Kujidai eti unatoa Ushauri!


Siku zote mtu mnafiki utamjua kwa Maneno na Mawazo yake.

Unataka kusema kwamba wewe hujui kuwa Chadema,kimepata kua Chama makini na na Tishio kwa Ccm chini ya Mwenyekiti wa sasa,MBOWE na Katibu Mkuu Dk SLAA!?
Kama Dk SLAA atakuwa Mwenyekiti na Mbowe atakua nani?

Chadema bado kina Muhitaji Mbowe na Mbowe bado anakihitaji CDM,ili kuendelea kujenga Chama imara kisichoyumbishwa, na Mafisadi Ccm.

Tunaona jinsi ambavyo Kina Mwigulu MZINZI, Nape na Wassira wanakazana kuaminisha Wadanganyika Kuwa Chadema ni Chama cha Udini, Ukanda, Ukabila na Fujo! Lakini Propaganda zao hizi Nyepesi zimeshindwa.

Niliwahi kusema humuhumu JF,kwamba Watu Wapuuzi wamekuwa wakitumia baadhi ya Vyombo vya habari,na Wahandishi Uchwara na wenye njaa kujaribu Kumchafua Dk SLAA na Chadema!!

Lakini mwaka huu Habari zao,za Uwongo na unafiki hazitakua na Tija kwa Watanzania,wala hazitakua tena ni habari!

Habari mwaka huu ni Kuhusu Kusini na Gesi yao,.!
Sasa kama Mwigulu MZINZI,Nape na WASSIRA ni Wazingumzaji wazuri sana kama tunavyoonaga Wakiisakama Chadema na Dk SLAA,basi tuwaone na sasa wakitumia muda wao kuelezea Wanakusini,kwani wao CCM na Serikali wanaona kuwa Bomba la Gesi ni lazima lije Dar!!

MUNGU IBARIKI TANZANIA!!!
MUNGU IBARIKI CHADEMA!!!


ndio mana nimekua nikiishauri chadema ni vema ingekua na sera itaifanyia nini tanzania na watanzania kuliko kudandia dandia kila jambo,mfano sasa ni bomba la gas mmeshalidandia,serikali ikimalizana na wana mtwara leo ama kesho mtakua na hoja gani?hamjifunzi mlivyolidandia suala la dr ulimboka na alichowafanya baada ya kurudi kutoka kwenye matibabu,mkabaki hama hoja,likaja la mwangosi mkadandia tena,hapo awali mlidandia hoja binafsi ya zitto kabwe huyu mnaemkashifu leo pale alipotishia kumng'oa waziri mkuu wakati mwenzenu alikua anajua ni ngumu kumuondoa waziri mkuu bali alikua anacheza ngoma ya siasa tu,lazima muwe na sera maalum za nini mtakifanya mkipewa ridhaa sio kufanya siasa za matukio
 
ndio mana nimekua nikiishauri chadema ni vema ingekua na sera itaifanyia nini tanzania na watanzania kuliko kudandia dandia kila jambo,mfano sasa ni bomba la gas mmeshalidandia,serikali ikimalizana na wana mtwara leo ama kesho mtakua na hoja gani?hamjifunzi mlivyolidandia suala la dr ulimboka na alichowafanya baada ya kurudi kutoka kwenye matibabu,mkabaki hama hoja,likaja la mwangosi mkadandia tena,hapo awali mlidandia hoja binafsi ya zitto kabwe huyu mnaemkashifu leo pale alipotishia kumng'oa waziri mkuu wakati mwenzenu alikua anajua ni ngumu kumuondoa waziri mkuu bali alikua anacheza ngoma ya siasa tu,lazima muwe na sera maalum za nini mtakifanya mkipewa ridhaa sio kufanya siasa za matukio
Embu tuondolee UHARO wako hapa!! Ndio maana nilikuambia awali kwamba kama unahisi "KUNYA",basi nenda Chooni au Jinyee, kuliko kutuletea Uharo wako huku JF!

Wewe unawashauri Chadema ukiwa kama nani?? Mbona huo Ushauri wako usiwapelekee,CCM na Serikali ya Dhahifu ambao ndio wanaokusanya Kodi,wanauza Madini yetu,wanauza wanyama wetu wakiwa hai,na Sasa wameuza Gesi yetu kwa Wachina!!

Hizo unazo ziita Hoja,! sijui Ulimboka,mara Mwangosi, mara Hoja ya waziri Mkuu na Zitto,! inaonyesha ni kiasi gani wewe ni Mtupu Kichwani!

Mkuu wenu alishawahi kusema Chadema ni Chama cha Msimu,lakini leo,imekuwa ndicho chama kinachowanyima Usingizi, mmediriki hata kununua vyombo vya habari na Wahandishi Uchwara kwa lengo la kupunguza kasi ya Chadema bila Mafanikio!

Ukisema CDM wanafanya Siasa za Matukio,ni,sawa! Ila nikuulize kwamba, kama Adui yako ukimpiga ngumi sikio la kushoto na ukagundua kwamba hapendi na anahisi Maumivu Makali,yanini uhangaike na kumpiga Miguuni! Si unampiga palepale,kwenye sikio?

Unapigana na "Mjmzito"[CCM] halafu unamwonea Huruma!! Pumbavu, Piga kwenye hiyohiyo Mimba iharibike!!

Mlitaka kumuuwa Dk Ulimboka,Mkamuuwa Mwangosi, kwa hiyo ulitaka CDM, wasitie neno?
Kama tumegunduwa kwamba,tukio litokeapo tukapaza sauti na Watu wakatuelewa kwanini tusifanye hivyo? Na kwanini wewe Uwashwe na CDM?

Kusema kwamba tuwache siasa za Matukio na tuwaambie wana nchi tukipewa Ridhaa tutawafanyia nini,? Huu si wakati wake,subiri hadi wakati tunaomba kura 2015,kwa kuwa tutakuwa na Ilani!
Tunaogopa sasa hivi kusema kwa kuwa,kila tulilo sema kwenye ilani ya Uchaguzi 2010,mmekopi na wakati ule mlikosoa! Mfano:,Elimu ya bure,Kushusha bei ya Vifaa vya Ujenzi,Mchakato wa Katiba Mpya! Nk.
Hatuwezi kuwatafunia huku mkitukosoa,halafu baadae mnarudi Kimya
kimya, kuyafanyia kazi yale mliyokuwa Mnakosowa!

Kajipange Upya na Waliokutuma, na nilishakuambia mwaka huu mambo ya Mtu binafsi[Dk SLAA] na Chadema, hayatakuwa na Mshiko wala Hazitakuwa Habari, Propaganda haina nafasi kwa mwaka huu kama mlivyozoea,Kuwatumia Nape, WASSIRA, Mwigulu MZINZI, na Mamluki wengine wengi!

Watu wanataka kusikia,waliouza na kusafirisha Wanyama wetu wakiwa hai,ni kina nani?
Pembe za ndovu zilizokamatwa China ni
nani alihusika?
Mabilioni yaliyofichwa Uswiss,yamefichwa na nani,?
Na kwanini Gesi isifanyiwe Mchakato wote kule Ilipogunduliwa, na badala yake,inaletwa Dar,kwa Bomba!
Mkiweza kuyatolea Majibu haya yote, basi sasa anzeni kukomaa na CDM,na Watu watawaelewa!!

MUNGU IBARIKI TANZANIA!!!
MUNGU IBARIKI CHADEMA!!!
 
Embu tuondolee UHARO wako hapa!! Ndio maana nilikuambia awali kwamba kama unahisi "KUNYA",basi nenda Chooni au Jinyee, kuliko kutuletea Uharo wako huku JF!

Wewe unawashauri Chadema ukiwa kama nani?? Mbona huo Ushauri wako usiwapelekee,CCM na Serikali ya Dhahifu ambao ndio wanaokusanya Kodi,wanauza Madini yetu,wanauza wanyama wetu wakiwa hai,na Sasa wameuza Gesi yetu kwa Wachina!!

Hizo unazo ziita Hoja,! sijui Ulimboka,mara Mwangosi, mara Hoja ya waziri Mkuu na Zitto,! inaonyesha ni kiasi gani wewe ni Mtupu Kichwani!

Mkuu wenu alishawahi kusema Chadema ni Chama cha Msimu,lakini leo,imekuwa ndicho chama kinachowanyima Usingizi, mmediriki hata kununua vyombo vya habari na Wahandishi Uchwara kwa lengo la kupunguza kasi ya Chadema bila Mafanikio!

Ukisema CDM wanafanya Siasa za Matukio,ni,sawa! Ila nikuulize kwamba, kama Adui yako ukimpiga ngumi sikio la kushoto na ukagundua kwamba hapendi na anahisi Maumivu Makali,yanini uhangaike na kumpiga Miguuni! Si unampiga palepale,kwenye sikio?

Unapigana na "Mjmzito"[CCM] halafu unamwonea Huruma!! Pumbavu, Piga kwenye hiyohiyo Mimba iharibike!!

Mlitaka kumuuwa Dk Ulimboka,Mkamuuwa Mwangosi, kwa hiyo ulitaka CDM, wasitie neno?
Kama tumegunduwa kwamba,tukio litokeapo tukapaza sauti na Watu wakatuelewa kwanini tusifanye hivyo? Na kwanini wewe Uwashwe na CDM?

Kusema kwamba tuwache siasa za Matukio na tuwaambie wana nchi tukipewa Ridhaa tutawafanyia nini,? Huu si wakati wake,subiri hadi wakati tunaomba kura 2015,kwa kuwa tutakuwa na Ilani!
Tunaogopa sasa hivi kusema kwa kuwa,kila tulilo sema kwenye ilani ya Uchaguzi 2010,mmekopi na wakati ule mlikosoa! Mfano:,Elimu ya bure,Kushusha bei ya Vifaa vya Ujenzi,Mchakato wa Katiba Mpya! Nk.
Hatuwezi kuwatafunia huku mkitukosoa,halafu baadae mnarudi Kimya
kimya, kuyafanyia kazi yale mliyokuwa Mnakosowa!

Kajipange Upya na Waliokutuma, na nilishakuambia mwaka huu mambo ya Mtu binafsi[Dk SLAA] na Chadema, hayatakuwa na Mshiko wala Hazitakuwa Habari, Propaganda haina nafasi kwa mwaka huu kama mlivyozoea,Kuwatumia Nape, WASSIRA, Mwigulu MZINZI, na Mamluki wengine wengi!

Watu wanataka kusikia,waliouza na kusafirisha Wanyama wetu wakiwa hai,ni kina nani?
Pembe za ndovu zilizokamatwa China ni
nani alihusika?
Mabilioni yaliyofichwa Uswiss,yamefichwa na nani,?
Na kwanini Gesi isifanyiwe Mchakato wote kule Ilipogunduliwa, na badala yake,inaletwa Dar,kwa Bomba!
Mkiweza kuyatolea Majibu haya yote, basi sasa anzeni kukomaa na CDM,na Watu watawaelewa!!

MUNGU IBARIKI TANZANIA!!!
MUNGU IBARIKI CHADEMA!!!

issue ya gesi mngewaachia cuf na wapiga kura wao maana huko kusini chadema hata ijipendekeze vipi ni ngumu sana kukubalika,cdm ijikite kuelezea itakachowafanyia watanzania sio kudandia dandia matukio huo ndio ushauri wangu anaenuna anune anaecheka acheke habari ndio hiyo bandugu wapendwa na pia mjipange safari hii kusimamisha wagombea ubunge kwenye kila eneo bunge ili kuonyesha kweli ni chama cha kitaifa sio kusimamisha wagombea kila jimbo huko kaskazini mwa tanzania mikoa ya kilimanjaro na arusha tu
 
kweli we mwehu siamini kama mzima na una akili sawsawa kwa hoja unazozitoa hapa jf dhidi ya cdm nazani ndio wale wale wazee wa kufikiri ki meya wa dar pole sana cdm 2013 haina kulala hadi ikulu mbwiga wewe.
 
My take: Slaa apumzike ajiandae kwa uchaguzi wa Rais 2015. Anahitaji hata kwenda likizo mahali pa faragha akajipange. Huku nyuma makamanda waendeshe M4C ktk hiki kipindi kilichobakia.
 
Back
Top Bottom