kazoa78
Member
- Dec 19, 2014
- 10
- 8
Habari za asubuhi,
Naombeni ushauri juu ya hili nilikuwa na mkaka tuliachana kila mtu akaendelea na yake ila sasa kila mtu anataka uhusiano urudi. Lakini akasema sasa inabidi ufanye majukumu yako vizuri.Sasa hayo majukumu wakaka mnayotarajiwa kufanyiwa ni yapi? Naomba kujuzwa wakuu.
N.B: Ukweli nampenda ila katika mapenzi sio mzoefu sana
Naombeni mawazo yenu sasa sitaki kumpoteza tena
Naombeni ushauri juu ya hili nilikuwa na mkaka tuliachana kila mtu akaendelea na yake ila sasa kila mtu anataka uhusiano urudi. Lakini akasema sasa inabidi ufanye majukumu yako vizuri.Sasa hayo majukumu wakaka mnayotarajiwa kufanyiwa ni yapi? Naomba kujuzwa wakuu.
N.B: Ukweli nampenda ila katika mapenzi sio mzoefu sana
Naombeni mawazo yenu sasa sitaki kumpoteza tena