TechWarlock
Member
- Sep 9, 2014
- 37
- 11
Wakuu habari zenu,
Naomba kujua shule nzuri ya private kwa Advance yenye michepuko ya Sayansi (ukiondoa St. Joseph na Alpha), itafaa sana ikiwa Dar es salaam lakini hata mikoa mingine ni njema pia. Sifa za mwanafunzi ni wa kiume na amefaulu vizuri kwa daraja la divisheni 1 ya pointi 7. Bajeti iliyopo ni milioni 7 mpaka 8 kwa ada ya mwaka. Kama unaweza kuweka taarifa zaidi za shule kama mawasiliano na ada zao itapendeza zaidi.
Asanteni!
Naomba kujua shule nzuri ya private kwa Advance yenye michepuko ya Sayansi (ukiondoa St. Joseph na Alpha), itafaa sana ikiwa Dar es salaam lakini hata mikoa mingine ni njema pia. Sifa za mwanafunzi ni wa kiume na amefaulu vizuri kwa daraja la divisheni 1 ya pointi 7. Bajeti iliyopo ni milioni 7 mpaka 8 kwa ada ya mwaka. Kama unaweza kuweka taarifa zaidi za shule kama mawasiliano na ada zao itapendeza zaidi.
Asanteni!