Ushauri;she is very bright lakin hajui mapenzi

Ushauri;she is very bright lakin hajui mapenzi

Pamoja na mambo yooote mapenzi muhimu sana,

Alikuwepo mmoja yeye hajui kitu utamuandaaa wewe yeye yupo yupo tu hata kukutolea shati hawezi,

Haya ukitaka kumpelekea moto anakuwa mbishi miguu anabana atabana weeee mpaka unakasirika na mzuka unaisha,

Anaomba msamaha mnarudi tena hali ile ile usumbufu usio na maana hajui chochote,

Mahusiano yana zaidi ya mwaka habadiliki pamoja na kumlalamikia laivu,

Ukimuweka hivi hataki ukimuinamisha hataki ukitaka kushika hivi hapana,

Kifupi wanawake wa namna hii da wanasimbua sana,

Yaani kila mkienda nae mkijitahidi sana ki kagoli kamoja tu lakini kwa wengine unaweza kwenda hata 5,

Pamoja na kuwa na akili lazima ujue mapenzi hata kama sio kwa kiwango cha juu basi uwe romantic tu kimtindo

Mwanamke kama huyo na yeye analalamika nikimtafutia kimada kweli?
 
Asingekuwa na akili,Ingeumia sehem za siri.Hajui mapenz mfundshe,Hujui maisha AKUFUNDSHE.
 
Huyo ndio wife material...kwa utafit wangu nilioufanya nimegundua kwamba wanawake wasiojua mapenz hawako addicted na mapenz. So hao ndio wife material mkuu. Usioe mwanamke ambaye ukisafir huku nyuma lazma watu wamle kwa uroho wake wa mapenz. If i were you, i could go for her.
 
Kama wewe humuwezi waachie wenzako...

Binadamu hatuna shukurani... Unashindwa kutambua kwamba binadamu huwezi kupewa vyote...


Cc: mahondaw
 
Kwan wewe unataka nini hasa?

Ukiingiza kwan huwa hukojoi wazungu?

Hebu tuanzie hapo kwanza
 
Back
Top Bottom