Rockcity native
JF-Expert Member
- Dec 31, 2012
- 2,167
- 1,403
Ni ushauri wangu kwa serikali ya mh kikwete kuzisaidia vigogo vya soka yani simba na yanga walau kuvijengea viwanja kama kirumba kila timu halafu kila mechi serikali ikate mapato ya timu husika hadi hapo deni litakapoisha... Nasema hivo kwa maana timu zetu hizi zimekosa mipango mikakati ya kujenga viwanja vyao. Kila siku viongozi wao ni blah blah tu. Simba na yanga ni tunu ya taifa iliyojificha. Kwa kufanya hivyo serikali itakua imevifungua macho vilabu hivi kukabiliana na haki miliki zake ambazo zinapotea katika mikono ya wajanja wachache kama jezi,majengo n.k