Ushauri, safari ya Dar-Mwanza: Basi gani ni zuri kupanda kwa sasa?

Ukweli mketa mada umeleta hoja mbili,

mosi, Unataka gari LA luxuary

pili, Unataka lisilolala njiani.

Waliokujibu hapo juu wamekujibu kwa ujumla tu.

IPO hivi,

Mosi, Ikiwa Unataka luxury basis bila kujali hata kama utalala njiani Mara nyingi huwa in Morogoro, Kwa hoja yako ya Luxury bus basi, Panda DAR LUX. Ila kupata tiketi zao in mbinde inawateja wengi na nauri Yake kama sijakosea no 60,000/ Kutoka MWANZA To Dar.

Pili, Ikiwa Unataka kufika tu bila kulala njiani , Gari ambayo sio luxury lakini halilali njiani na linafika ubungo SAA sita usiku, Basi Panda ISAMILO BASI


Kwahiyo uamuzi ni wako, Uchukue luxuary ulale njiani au Siyo luxury ili usilale njiani.
Nilipanda Dar lux nilivyokuwa nakuja
Luxiury ni 50k
La kawaida ni 45k
Nilifika DSM saa2340hrs
 
Nataka nisafiri Mwanza toka Dar je wadau nisaidieni basi gani nipande lenye kuendeshwa kwa tahadhari na mwendo WA kipimo kama Dar Express?
 
Nataka nisafiri Mwanza toka Dar je wadau nisaidieni basi gani nipande lenye kuendeshwa kwa tahadhari na mwendo WA kipimo kama Dar Express?

Kama lile Basi la Allys bado lipo katika hiyo ' route ' nakushauri usilipande japo Mimi nililipanda mara mbili mwaka 2009 ambapo safari ya kwenda nalo Mwanza kuna Ng'ombe alijipendekeza njiani nje kidogo ya Mkoa wa Dodoma dereva wala hakuona haja ya kumpisha na badala yake akamgonga na tukawaachia Wagogo Nyama yao ya bure ya Kula kwa Siku hiyo na mara ya pili nilipokuwa natoka nalo Mwanza kuja Dar es Salaam tukiwa maeneo ya Singida kuna Mnyiramba mmoja alikuwa na Baiskeli yake akawa anataka kushindana na Basi letu la Allys ambapo alilioana kabisa kwa mbali likiwa linakuja kwa Spidi yake Kali ya Ndege na Yeye akataka kuliwahi Kuvuka upande wa Pili na Baiskeli yake na kilichotoke nilisikia ' mshindo ' mmoja mkubwa na Basi likasimama ambapo tulipotoka nje kuangalia Kulikoni tuliona tu Baiskeli ikiwa imetupwa Porini na Mwendeshaji wake akiwa tayari ameshatuachia Tanzania yetu na kaacha Kupumua milele hivyo tukamsogeza tu pembeni na kuwaachia Wanyiramba waendelee na Shughuli za Msiba na Ndugu yao huyo. Baada ya hayo matukio mawili hata leo uniambie nipande bure Basi la Allys nadhani utakuwa unatafuta tu matatizo na Mimi. Wapiga Debe wa pale Nyegezi Terminal Mwanza wakiiona tu Allys inawasili utasikia wanaanza kushangilia na kuimba wakisema ' Jeneza Limewasili ' huku wengine wakisema ' Mortuary inayotembea imewasili ' salama.

Kama Basi la Mombasa Raha au Mohammed Trans lipo Mkuu nakushauri chagua moja wapo na ulipande utafurahia.
 
Kama lile Basi la Allys bado lipo katika hiyo ' route ' nakushauri usilipande japo Mimi nililipanda mara mbili mwaka 2009 ambapo safari ya kwenda nalo Mwanza kuna Ng'ombe alijipendekeza njiani nje kidogo ya Mkoa wa Dodoma dereva wala hakuona haja ya kumpisha na badala yake akamgonga na tukawaachia Wagogo Nyama yao ya bure ya Kula kwa Siku hiyo na mara ya pili nilipokuwa natoka nalo Mwanza kuja Dar es Salaam tukiwa maeneo ya Singida kuna Mnyiramba mmoja alikuwa na Baiskeli yake akawa anataka kushindana na Basi letu la Allys ambapo alilioana kabisa kwa mbali likiwa linakuja kwa Spidi yake Kali ya Ndege na Yeye akataka kuliwahi Kuvuka upande wa Pili na Baiskeli yake na kilichotoke nilisikia ' mshindo ' mmoja mkubwa na Basi likasimama ambapo tulipotoka nje kuangalia Kulikoni tuliona tu Baiskeli ikiwa imetupwa Porini na Mwendeshaji wake akiwa tayari ameshatuachia Tanzania yetu na kaacha Kupumua milele hivyo tukamsogeza tu pembeni na kuwaachia Wanyiramba waendelee na Shughuli za Msiba na Ndugu yao huyo. Baada ya hayo matukio mawili hata leo uniambie nipande bure Basi la Allys nadhani utakuwa unatafuta tu matatizo na Mimi. Wapiga Debe wa pale Nyegezi Terminal Mwanza wakiiona tu Allys inawasili utasikia wanaanza kushangilia na kuimba wakisema ' Jeneza Limewasili ' huku wengine wakisema ' Mortuary inayotembea imewasili ' salama.

Kama Basi la Mombasa Raha au Mohammed Trans lipo Mkuu nakushauri chagua moja wapo na ulipande utafurahia.
nimekupata mkuu
 
Kama lile Basi la Allys bado lipo katika hiyo ' route ' nakushauri usilipande japo Mimi nililipanda mara mbili mwaka 2009 ambapo safari ya kwenda nalo Mwanza kuna Ng'ombe alijipendekeza njiani nje kidogo ya Mkoa wa Dodoma dereva wala hakuona haja ya kumpisha na badala yake akamgonga na tukawaachia Wagogo Nyama yao ya bure ya Kula kwa Siku hiyo na mara ya pili nilipokuwa natoka nalo Mwanza kuja Dar es Salaam tukiwa maeneo ya Singida kuna Mnyiramba mmoja alikuwa na Baiskeli yake akawa anataka kushindana na Basi letu la Allys ambapo alilioana kabisa kwa mbali likiwa linakuja kwa Spidi yake Kali ya Ndege na Yeye akataka kuliwahi Kuvuka upande wa Pili na Baiskeli yake na kilichotoke nilisikia ' mshindo ' mmoja mkubwa na Basi likasimama ambapo tulipotoka nje kuangalia Kulikoni tuliona tu Baiskeli ikiwa imetupwa Porini na Mwendeshaji wake akiwa tayari ameshatuachia Tanzania yetu na kaacha Kupumua milele hivyo tukamsogeza tu pembeni na kuwaachia Wanyiramba waendelee na Shughuli za Msiba na Ndugu yao huyo. Baada ya hayo matukio mawili hata leo uniambie nipande bure Basi la Allys nadhani utakuwa unatafuta tu matatizo na Mimi. Wapiga Debe wa pale Nyegezi Terminal Mwanza wakiiona tu Allys inawasili utasikia wanaanza kushangilia na kuimba wakisema ' Jeneza Limewasili ' huku wengine wakisema ' Mortuary inayotembea imewasili ' salama.

Kama Basi la Mombasa Raha au Mohammed Trans lipo Mkuu nakushauri chagua moja wapo na ulipande utafurahia.
nimekupata mkuu
 
Kama lile Basi la Allys bado lipo katika hiyo ' route ' nakushauri usilipande japo Mimi nililipanda mara mbili mwaka 2009 ambapo safari ya kwenda nalo Mwanza kuna Ng'ombe alijipendekeza njiani nje kidogo ya Mkoa wa Dodoma dereva wala hakuona haja ya kumpisha na badala yake akamgonga na tukawaachia Wagogo Nyama yao ya bure ya Kula kwa Siku hiyo na mara ya pili nilipokuwa natoka nalo Mwanza kuja Dar es Salaam tukiwa maeneo ya Singida kuna Mnyiramba mmoja alikuwa na Baiskeli yake akawa anataka kushindana na Basi letu la Allys ambapo alilioana kabisa kwa mbali likiwa linakuja kwa Spidi yake Kali ya Ndege na Yeye akataka kuliwahi Kuvuka upande wa Pili na Baiskeli yake na kilichotoke nilisikia ' mshindo ' mmoja mkubwa na Basi likasimama ambapo tulipotoka nje kuangalia Kulikoni tuliona tu Baiskeli ikiwa imetupwa Porini na Mwendeshaji wake akiwa tayari ameshatuachia Tanzania yetu na kaacha Kupumua milele hivyo tukamsogeza tu pembeni na kuwaachia Wanyiramba waendelee na Shughuli za Msiba na Ndugu yao huyo. Baada ya hayo matukio mawili hata leo uniambie nipande bure Basi la Allys nadhani utakuwa unatafuta tu matatizo na Mimi. Wapiga Debe wa pale Nyegezi Terminal Mwanza wakiiona tu Allys inawasili utasikia wanaanza kushangilia na kuimba wakisema ' Jeneza Limewasili ' huku wengine wakisema ' Mortuary inayotembea imewasili ' salama.

Kama Basi la Mombasa Raha au Mohammed Trans lipo Mkuu nakushauri chagua moja wapo na ulipande utafurahia.
Ally's sports bus haipo tena Dar Mwanza. Nadhani waliacha route hiyo 2013 hivi.

Route ya Dar Mwanza kikubwa ni kutafuta bus linalojali usalama na linalotunza muda...ili walau usilale njiani na ufike salama.

Kisesa, JM, Kibo, au Kisbo can be a good choice.
 
Dah ila siku hizi Mwanza mnafika usiku sana. Bora ujipinde na asante jiwe a.k.a Bombadier
 
Mwanza - Dar ni Dar Lux tu ndo iko vizuri. Ila wahi upande gari la kwanza kabisa asubuhi ndo unafika siku hiyo hiyo. Ukipanda la pili lazima mlale Morogoro.

TAHADHARI KUBWA: Abood usije ukathubutu kupanda. Kaweka mibasi ya zamani ya Marcopolo ameona haina soko ruti ya Dar - Moro ndo kaileta ruti ya Mwanza - Dar. Nilipandaga siku moja nilijuta aisee, yaani nilitamani nikafungue kesi ya madai SUMATRA maana kwenye ofisi ya tiketi waliniambia eti ni Luxury halafu wakanionesha picha za Yutong, kumbe zile Yutong ni za Dar - Moro.
 
Naomba kuuliza ni kampuni gani ya bus yenye ubora wa safari kama mwendo wa kawaida, music, Wi-Fi, charge system n.k (daraja la kwanza) kutoka Dar-es-salaam kwenda Mwanza.

Asante nasubiri majibu yenu wajuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom