Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,413
Good morning wana Jf.
Leo nikiwa ninaendesha gari kuelekea maeneo ya VETA chang'ombe ghafla nikasimamishwa na traffic police wakitaka niweke gari pembeni ili wakague kama nimelipia Road Licence.
Wiki moja kabla nikiwa napita barabara ya kilwa nilikutana na kikosi cha traffic police wakiwa wametega camera ndogo yenye uwezo wa kusoma plate numbers za magari kisha wakabaini gari ipi inadaiwa faini ya kosa la barabarani ili mmiliki aweze kulipa pamoja na penalties zote.
Swali: Kwanini Traffic Police na TRA wasifanye system integration kiasi kwamba wakiweka zile kamera za kusoma plate numbers wawe na uwezo wa kuona madeni yote yanayodaiwa kwa gari husika? Kuanzia road licence, insurance, fines za traffic offences, sticker za usalama barabarani na malipo yote inayodaiwa gari?
Tatizo hapa ni nini? Hatuna programmers wa kufanya hivi ama kampuni za auctions zitakosa deals?
Ninawasilisha.
Leo nikiwa ninaendesha gari kuelekea maeneo ya VETA chang'ombe ghafla nikasimamishwa na traffic police wakitaka niweke gari pembeni ili wakague kama nimelipia Road Licence.
Wiki moja kabla nikiwa napita barabara ya kilwa nilikutana na kikosi cha traffic police wakiwa wametega camera ndogo yenye uwezo wa kusoma plate numbers za magari kisha wakabaini gari ipi inadaiwa faini ya kosa la barabarani ili mmiliki aweze kulipa pamoja na penalties zote.
Swali: Kwanini Traffic Police na TRA wasifanye system integration kiasi kwamba wakiweka zile kamera za kusoma plate numbers wawe na uwezo wa kuona madeni yote yanayodaiwa kwa gari husika? Kuanzia road licence, insurance, fines za traffic offences, sticker za usalama barabarani na malipo yote inayodaiwa gari?
Tatizo hapa ni nini? Hatuna programmers wa kufanya hivi ama kampuni za auctions zitakosa deals?
Ninawasilisha.