bado mnatongoza mpaka siku hizi??? kha! mbona mi naona muda wowote wapo tayari tu siku hizi hawa viumbe,manake hata ukiwatania wanafanya kweli ...mi nina kazi ya kuwakimbia na kuwayeyusha siku hizi......basi kama unajifunza gonga viroba fasta
Wanajamvi naombeni mnishauri...............
kuna mshkaji wangu ana aibu kwa wadada kupita maelezo haswa inapokuwa katika swala la kuapproach! nambieni namna ninavyoweza kumwondolea hiyo hali manake inatia aibu kwakweli......
naomba kuwasilisha
Wanajamvi naombeni mnishauri...............
kuna mshkaji wangu ana aibu kwa wadada kupita maelezo haswa inapokuwa katika swala la kuapproach! nambieni namna ninavyoweza kumwondolea hiyo hali manake inatia aibu kwakweli......
naomba kuwasilisha
Mwambie atafute ela tu.... Watakuja wenyewe...
Mwambie ajiamini na kupigwa kibuti mara ya kwanza ni kitu cha kawaida. Inawezekana hofu yake kubwa ni kuwa akiapproach mtu na baadaye kukataliwa ishu itavuja na atakuwa amejiharibia. Mambo hayaendi hivyo, hawa wenzetu wana approachiwa kila siku!
Wanajamvi naombeni mnishauri...............
kuna mshkaji wangu ana aibu kwa wadada kupita maelezo haswa inapokuwa katika swala la kuapproach! nambieni namna ninavyoweza kumwondolea hiyo hali manake inatia aibu kwakweli......
naomba kuwasilisha