BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,217
Khaaa miaka 6??? Mweeh
wewe ni mawanaume, mwanamke au jinsia zote?
Missing u honey...umenisikitisha kuonyesha hutaweza kunivumilia
Nimesema ukweli wangu bb, kiukweli hapa kama ni 6yrs labda uniachie shost wako kwa mkataba awe anaipooza pooza alafu ukirudi shost wako anakaa bench kushangilia.
Miaka sita khaaa,siku hizi ukivumiliwa saaana ni wiki moja.maana papuchi za sikuhizi zinashika kutu so zinahitaji kupigwa grisi mara kwa mara...loading error...
6yrs atakusubiria mzazi wako tu
Duuuuuh, kumbe hakuna upendo wa kweli dunia ya sasa!!!!