Maisha ni kitu ambacho kiko fair sana.
Kila kitu unachofanya iwe kwa wazi au kwa siri, LAZIMA
utavuna matunda yake. LAZIMA - hata kama sio leo.
Maamuzi madogomadogo tunayofanya siku hadi siku, KWA HAPO UNAPOFANYA inaonekana kama hujabadili chochote.
Lakini tone moja jumlisha na la pili jumlisha na la tatu, nk, yanajaza bwawa.
Maamuzi chanya, yatakuzalia matunda chanya.
Maamuzi hasi, yatakuzalia matunda hasi.
LAZIMA!
You may succeed to hide from people; you can NEVER hide from life itself.
Na tunajua,
kipi sahihi, kipi si sahihi kufanya.