Wild fauna
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 461
- 189
- Thread starter
- #21
wakuu huyu binti amemaliza shule na yupo chuo cha ualimu(grade A) mwaka wa kwanza. Ninampenda sana,mama ananiambia mie sina shida ili mradi tu uje uweke wazi na baba yake ajue. Niambieni nikichua uamuzi wa kwenda NIKAONGEE NINI?