Au hana mahali pa kudekea kaona arudi Misri?Anataka kukuchezea huyo
Nahisi kama vile kitega uchumi flani hivi. Ofcourse... mpaka sasa kura zimesema nikaushe.Kausha tu,, mpaka sasa Bado tu hujajua Nia yake?.. acha tamaa
Situation kama hizi ndio najipunguzaaaaa weeeeh. Kwa hiyo umesema nikaushe sio?Anaumwa anataka pesa jaman ,jiongeze tuuuuu
Dah! Sawa mkuu, kwa hiyo siku hizi tutaitwa nini? Halafu ushauri vipi? Watalaam wamesemwa akaushwe.kwa miaka ya nyuma kidogo wanaume kama wewe waliitwa magari ya mshahara.
Sawa sawa mkuu, mission aborted.
Ninahisi na wewe ni nataka sitaki, yaan kama vile unamtaka humtaki yaani hujielewi.Message sent!!!
Na delivery note juu!!!
Sijaoa na pia mtoto bado, na kwa sasa sina mpenzi.Ninahisi na wewe ni nataka sitaki, yaan kama vile unamtaka humtaki yaani hujielewi.
Kwa nini usitulie na mke wako?
Yaan kote umekosa hadi urudie ya kale? Mwaka mzima unajua ameshapita na wangapi? Kwanini vijana wa sikuhizi hamuwezi kujisimamia? Ishinde tamaa! Kumbuka mzahamzaha hutumbua usaha we endekeza hizo chatting!Sijaoa na pia mtoto bado, na kwa sasa sina mpenzi.
Kiukweli nataka kumchakata, lakini sitaki drama za kutumika ovyo. Wengi wamenishauri nimkaushie....na wewe je? Wanishauri nifanye nini?
Nahisi ni kama ungekuwa karibu ungekuwa ushanitandika kofi. Dah!Yaan kote umekosa hadi urudie ya kale? Mwaka mzima unajua ameshapita na wangapi? Kwanini vijana wa sikuhizi hamuwezi kujisimamia? Ishinde tamaa! Kumbuka mzahamzaha hutumbua usaha we endekeza hizo chatting!
Umenena mkuu!! Nami nimeamua kulifanyia hilo kazi.Kijana uyo manzi achana nae ulishamove on long time mpotezee uyo tangu lini matapishi yakarudishwa tena kinywani manzi ulishamkataa kitambo kuwa strong isitoshe atakudharau sana kuona kuwa auna msimamo
Hapana mkuu, kabla jua halijazama nitakuwa nimeshamkana zaidi ya mara tatu.Kwani wewe ndiyo yule mkombozi wa single mothers aliyekuwa akisubiriwa??? "Single mama haolewi/haoleki"