Ushauri: Nipo njiapanda

Ushauri: Nipo njiapanda

Mmasai Asilia

Member
Joined
Jul 22, 2015
Posts
48
Reaction score
6
Mambo vipi wanajukwaa la MMU, nimewamiss kwa muda.

Dhumuni la kuandika uzi huu ni kuhitaji ushauri kutoka kwenu, jana wakati nipo na mpenzi wangu, simu yake ilipigwa na namba ngeni, sasa katika kusikiliza maongezi ya upande wa pili alikuwa ni mwanamke mwenzake.

Wakaongea kama dakika 1 hivi alafu katikati ya maongezi yule mwenzake akamuuliza mpenzi wangu, mbona hujaniletea tena Tv, baada ya hapo mpenzi wangu akazuzuga na kisha kukata simu.

Nilipojaribu kumuuliza akawa anamumunyamumunya maneno, ikumbukwe kuwa hawa wote ni wanafunzi wa chuo na uwezo wa kununua Tv hawana kwa jinsi navyowajua. Msaada tutani kwa wale wanaofahamu walikuwa wanamaanisha nini?

Nawasilisha!


 
Unataka uambiwe kuwa baby wako ni lesbian ndio uelewe au?
 
Hey tv inaweza kuwa na maana nyingin labd umbea au kumwonyesha picha ya kitu...hicho si kitu kikubwa kwa ushauri wa hapa mtaachana..wadad kuitana wapenz ni kawaida...
 
Yani kama papuchi ndo inaitwa TV.. basi hii nayo kali..mbane huyo demu wako akueleza
 
Sasa inakuwaje unasikiliza maongezi ya watu kwenye simu mzee, za wapi hizo?? We jamaa hufai hata kuwa na manzi kwa style hiyo.
 
Achana na mambo mengine.

Kuna kitu kinaitwa rejesta, mtafute mtu akuelekeze maana yake.

Hao ni marafiki, wapo pamoja chuo(kikundi) hvo wana rejesta zao wanazotumia, pia wana uteuzi wa lugha watakazo tumia kulingana na muktadha maalumu.
 
neno mpenzi lilishapoteza uzito wake siku hizi! so far yawezekana wao wana maana nyingne ya tv, muulize vyema atakwambia.
 
Back
Top Bottom