Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,288
- 6,338
Naona umeongezea nyamatu kwenyempango wa kununua kiwanja,na walasioni kama ni biashara kichaa kamaunavyoiita.Mkuu nakushauri weka 1mil pembeni na itakayobakia fikiria biashara ya kufanya ambayo itakuwa na returns hatakama ni kidogo kisha ukiimudu utaongezea mtaji. Achana na wanaokushauri kiwanja. Unless kama una shughuli inayokuingizia kipato kwasasa na huna muda wa kuanzisha biashara. Kiwanja kitakaa hapo na mwisho wa siku utaishia kukiuza japo kwa bei ya juu lakini haina tofauti sana na thamani ya hiyo hela kwasasa.. Mfano 2mil kwasasa inawezakuwa na thamani sawa na 5mil miaka mi 5 ijayo. Wanaowekeza kwenye ardhi wengi wana mkwanja wa kutosha au wana biashara nyingine au ajira. Au kama vipi fanya kama ni biashara, ununue hicho kiwanja na ukiendeleze kisha ukiuze fasta na kununua kingine. Iwe ndo biashara yako.