Mndengereko One
JF-Expert Member
- Apr 26, 2015
- 323
- 210
Mtiani=mtihani.nilimpata msichana lakini aliniambia ana mtu lakini akanipa nafasi ya kuwa pamoja tukadumu kama mwezi hivi tukaachana .sasa kuna siku akanipigia akaniambia ana mimba yangu nikamuuliza umejuaje kama yangu na sio ya huyo jamaa demu akamaind akanipotezea .
sasa baada kama ya mwaka amenitafuta na akanionyesha picha za mtoto akasemwa huyu ndo mwanao uliye mkataa nikamwambia kwahyo akasema anaitaji huduma nikamwambia poa nitakuja kumuona baada ya muda kupita nikiwa najichanga Mara demu akawa anapost picha za jamaa yake yule wa mwanzo kumuuliza akaniambia bado yupo nae ila mtoto anasema wakwangu sio wa jamaa sasa naombeni ushauri kweli atakua wangu au ndo anataka kunifanya kitega uchumi cha kupoza ukali Wa maisha
mtoto bado Mdogo na nilivyo muhoji kuhusu jamaa akanitukana mbayaMtiani=mtihani.
Nendeni kwa mkemia mkuu, hakuna namna, ikiwa vip beba mtoto kitanda hakizai haramu
aise hivi unaitaji IQ kubwa kujua kwamba unadanganywa duuu kweli waliosema waafrika tuna IQ ndogo hawajakoseanilimpata msichana lakini aliniambia ana mtu lakini akanipa nafasi ya kuwa pamoja tukadumu kama mwezi hivi tukaachana .sasa kuna siku akanipigia akaniambia ana mimba yangu nikamuuliza umejuaje kama yangu na sio ya huyo jamaa demu akamaind akanipotezea .
sasa baada kama ya mwaka amenitafuta na akanionyesha picha za mtoto akasemwa huyu ndo mwanao uliye mkataa nikamwambia kwahyo akasema anaitaji huduma nikamwambia poa nitakuja kumuona baada ya muda kupita nikiwa najichanga Mara demu akawa anapost picha za jamaa yake yule wa mwanzo kumuuliza akaniambia bado yupo nae ila mtoto anasema wakwangu sio wa jamaa sasa naombeni ushauri kweli atakua wangu au ndo anataka kunifanya kitega uchumi cha kupoza ukali Wa maisha
ndugu lakini dogo kwa mbali anafanana na mwanangu mwingine niliye mpata kwa mwanamke mwingineaise hivi unaitaji IQ kubwa kujua kwamba unadanganywa duuu kweli waliosema waafrika tuna IQ ndogo hawajakosea
kiongozi ila kuwa makini tu maana hawa mabinti wa siku hizi ni shida sana aise asije kuuzia mbuzi kwenye guniandugu lakini dogo kwa mbali anafanana na mwanangu mwingine niliye mpata kwa mwanamke mwingine
So kweli. Mimi kumjua mwanangu siiiiiiiiiiiiiiiitaji DNA. Nkikaaa naye masaaa mawili ntamjuaCheck DNA tuuu.... ila kumbuka baba wa mtot huwa anamjuwaaa mama tuuu
unafaje mpaka unamjuaSo kweli. Mimi kumjua mwanangu siiiiiiiiiiiiiiiitaji DNA. Nkikaaa naye masaaa mawili ntamjua
asante ndugukiongozi ila kuwa makini tu maana hawa mabinti wa siku hizi ni shida sana aise asije kuuzia mbuzi kwenye gunia
sasa kama unamjua umekuja kuuliza nn humu si unaweza kudetect either ni wako au changaSo kweli. Mimi kumjua mwanangu siiiiiiiiiiiiiiiitaji DNA. Nkikaaa naye masaaa mawili ntamjua
tuko pamoja mdauasante ndugu
Kwani mimi ni mtoa mada?sasa kama unamjua umekuja kuuliza nn humu si unaweza kudetect either ni wako au changa
samahan mkuu nmequite kimakosa..pole kwa usumbufuKwani mimi ni mtoa mada?
Maisha kweli yamekua ng'ang'ari.
Hapa kasi tu.
Tunakula mpaka utumbo wa mchicha