Ushauri: Nina wasiwasi mtoto sio wangu

Mndengereko One

JF-Expert Member
Apr 26, 2015
321
210
Nilimpata msichana lakini aliniambia ana mtu lakini akanipa nafasi ya kuwa pamoja tukadumu kama mwezi hivi tukaachana .sasa kuna siku akanipigia akaniambia ana mimba yangu nikamuuliza umejuaje kama yangu na sio ya huyo jamaa demu akamaind akanipotezea .

Sasa baada kama ya mwaka amenitafuta na akanionyesha picha za mtoto akasemwa huyu ndo mwanao uliye mkataa nikamwambia kwahIyo, akasema anaitaji huduma nikamwambia poa nitakuja kumuona baada ya muda kupita nikiwa najichanga, Mara demu akawa anapost picha za jamaa yake yule wa mwanzo kumuuliza akaniambia bado yupo nae ila mtoto anasema wakwangu sio wa jamaa.

Sasa naombeni ushauri kweli atakua wangu au ndo anataka kunifanya kitega uchumi cha kupoza ukaliwa maisha.
 
nilimpata msichana lakini aliniambia ana mtu lakini akanipa nafasi ya kuwa pamoja tukadumu kama mwezi hivi tukaachana .sasa kuna siku akanipigia akaniambia ana mimba yangu nikamuuliza umejuaje kama yangu na sio ya huyo jamaa demu akamaind akanipotezea .
sasa baada kama ya mwaka amenitafuta na akanionyesha picha za mtoto akasemwa huyu ndo mwanao uliye mkataa nikamwambia kwahyo akasema anaitaji huduma nikamwambia poa nitakuja kumuona baada ya muda kupita nikiwa najichanga Mara demu akawa anapost picha za jamaa yake yule wa mwanzo kumuuliza akaniambia bado yupo nae ila mtoto anasema wakwangu sio wa jamaa sasa naombeni ushauri kweli atakua wangu au ndo anataka kunifanya kitega uchumi cha kupoza ukali Wa maisha
Mtiani=mtihani.
Nendeni kwa mkemia mkuu, hakuna namna, ikiwa vip beba mtoto kitanda hakizai haramu
 
nilimpata msichana lakini aliniambia ana mtu lakini akanipa nafasi ya kuwa pamoja tukadumu kama mwezi hivi tukaachana .sasa kuna siku akanipigia akaniambia ana mimba yangu nikamuuliza umejuaje kama yangu na sio ya huyo jamaa demu akamaind akanipotezea .
sasa baada kama ya mwaka amenitafuta na akanionyesha picha za mtoto akasemwa huyu ndo mwanao uliye mkataa nikamwambia kwahyo akasema anaitaji huduma nikamwambia poa nitakuja kumuona baada ya muda kupita nikiwa najichanga Mara demu akawa anapost picha za jamaa yake yule wa mwanzo kumuuliza akaniambia bado yupo nae ila mtoto anasema wakwangu sio wa jamaa sasa naombeni ushauri kweli atakua wangu au ndo anataka kunifanya kitega uchumi cha kupoza ukali Wa maisha
aise hivi unaitaji IQ kubwa kujua kwamba unadanganywa duuu kweli waliosema waafrika tuna IQ ndogo hawajakosea
 
Mambo mengine mnajitakia wenyewe... ndiyo kama hivi mnakuja kubebeshwa mizigo siyo yenu... umelilia wembe...
 
Alikuona bwege tangu mwanzo,sasa anataka kuutumia vilio huo ubwege wako,la msingi ulilo fanya,ni kuja huku JF angalau ubwege umekuisha
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom