saks
Member
- Jun 8, 2015
- 47
- 51
Access bank FDR account ya 30days inaanzia 11.2% kuna mtu nimemjibu hapa unaweza ukaonaReally? benki gani wanafanya hiyo kitu nilijaribu kuuliza baadhi ya benki wananiambia milioni nne baada ya miezi minne
Access bank FDR account ya 30days inaanzia 11.2% kuna mtu nimemjibu hapa unaweza ukaonaReally? benki gani wanafanya hiyo kitu nilijaribu kuuliza baadhi ya benki wananiambia milioni nne baada ya miezi minne
Juzi nimepita Access bank FDR account ya 5M unapata return ya 11.2% kwa 30days na 11.5% kwa 60days 11.8% for 90days kwa miezi sita na kumi na mbili sikumbuki vizuri unaweza kuwafuatilia kama uko serious naweza kupa namba zao ukawatafuta
Msimchanganye huyo mtu,its better akacheza na fixed deposit itamsaidia.Seems he can make some mistake in the process.ataroga mtu akifirisika.Aisee njoo brother nikushauri ,nitakulengesha kila hatua. ila utanilipa 1M for consultation and showing you bussiness channels .then tuingie agreement ya 6% of your annual profit.only for first year.
my friend wewe ni millionea and after 8 months you will become a billionea ,Displine katika pesa inahitajika.
Hizo hesabu sio za kibenki,Benki wanahesabu 11.2% Per Annum.Niko serious mkuu, nahitaji hiyo ya 30 days
Wekeza katika kilimo
WEKEZA KATIKA VIWANJA NA NYUMBA.HAPO UNQ NYUMBA KAMA SITA HIVI ZA KITANZANIA ZILIZO BORA.HUU NDO UTAJIRI USIO NA HASARA
Me nakushauri wekeza katika fixed deposit utapata 21,000,000 kama retun ambapo ukiongea nao vizuri utapata 1,750,000 kila mwezi hiyo ni retun tuu apo nazungumzia return ya 14% na unaweza pia chukua hiyo 21 milion up front ukitaka for 1 year
Kiukweli mkuu, jf ni mwisho wa mchezo , ni mifano tu, naamini wapo wengi watakupa ushauri mzuri humu ili kukutoa kimaisha, ni jukumu lako kutulia na kuona kwa mazingira yako kimaisha na upendeleo wako mwenyewe umependezewa na aina gani ya uwekezaji,Aisee njoo brother nikushauri ,nitakulengesha kila hatua. ila utanilipa 1M for consultation and showing you bussiness channels .then tuingie agreement ya 6% of your annual profit.only for first year.
my friend wewe ni millionea and after 8 months you will become a billionea ,Displine katika pesa inahitajika.
at least lakini pia angekaa sehemu yenye mzunguko mkubwa wa watu kiufupi...atafte sehemu yenye pambo kubwa kwa mwezi ambako kutamaanisha kuwa atapata watu wengi zaidi ,mfano posta,makumbusho, ubungo,kariakoo n.kFanya biashara ya kuuza pombe kali kwa bei za jumla
amwekeza 150 alafu kwa mwaka apate 25 huoni kuwa still atakuwa nje ya mstari maana kaweka ela nying anapata kidgo..wasomi nawapend sanh ati tr bond...but ungesema tr. bills inakuwa offered na gvmentNjoo inbox, uje pale bank nikupe rate of interest ya 14%. Au nunua treasury bond pale BOT. Utapata mpaka milioni 25 kwa mwaka.tuwasiliane uje ofisini kwangu.
i kila unapotaka kutoa wazo basi unataka ela usifanye hvo bwanah...kwan hyo 150 ni ela nyngi sanah kwani....Aisee njoo brother nikushauri ,nitakulengesha kila hatua. ila utanilipa 1M for consultation and showing you bussiness channels .then tuingie agreement ya 6% of your annual profit.only for first year.
my friend wewe ni millionea and after 8 months you will become a billionea ,Displine katika pesa inahitajika.
it depens na hisa za kampuni gani jamani...hisa ya microsoft leoUsisahau kununua hisa
it depens na hisa za kampuni gani jamani...hisa ya microsoft leo
NDO MAANA BENKI WAKASEMA TUNA HUDUMA YA KUMSHAHURI MTEJA WAPI AWEKEZE ELA YAKE...IJAPOKUWA WENGI TUNAENDA KUWEKA ELA NA KUTOA KTK ACCOUNT ZTUHivi kuna mtu mwenye hizo hela afu hajui afanye nini?
Au mmeuza nyumba ya urithi?
According to rumorsKwakweli sina mfano wa mtu moja kwa moja ila mara nyingi uwa nawasikiliza namna wanavyofanya katika uwekezaji kwa niaba ya wengine na imenivutia sana.
Mkuu, hongera sana. Nenda pale TATA, kawaone wakuuzie mabasi mawili... Unalipa advance kama mia arobaini na nyingine utamalizia. Ukinunua zile basi zinaweza kukaa miaka mitano zikapiga kazi fresh tu. Ila kabla hujazitia barabarani, hakikisha unazikatia BIMA kubwa...
Kwa siku gari inaleta laki mbili, so kwa mwezi unahesabu milioni sita kwa basi moja na kwa mwaka ni milioni 72 (Toa gharama nyingine unabaki na kama 50M) kwa mwaka. Kwa miaka mitano unagenerate kama M 250 kwa basi moja.
Wonders shall never endHivi kuna mtu mwenye hizo hela afu hajui afanye nini?
Au mmeuza nyumba ya urithi?
Weka fixed deposit account MAENDELEO BANK update faidike n.a. interest wakati unatafuta biashara ya kufanya .kama VIP tuwasiliane kwa ajili ya hiyo FDR MY NO 0672886127Hi wapendwa kwa rehma zake mwenyezi Mungu, nimepata haka kamzigo naomba ushauri ili kesho yangu iwe na kheri niwekeze katk biashara gani na mtaji huu
asanteni kwa maoni