ginnery
JF-Expert Member
- Nov 9, 2016
- 200
- 145
Sikushauri kuoa huyo wanawake wa hivyo asilimia kubwa uwa wana mapungufu ya kitabia n. k kwa sasa si rahisi kujua ila muweke ndan ndio utajua asili haijifichi!Kuna dada niko nae kwenye mahusiano ila ni msimbe na maanisha aliwahiwa kuolewa na jamaa mwingine ila mimi na yeye tunapendana sasa mwenzangu ananiambie tuoane ila mimi naogopa kuchukua wowote maana yeye ni msimbe na mimi bado sijafanikiwa kupata mke ila nahisi nampenda nahitaji ushauri wenu.