Ushauri: Nimuoe au vipi?

Ushauri: Nimuoe au vipi?

electrical

Member
Joined
Dec 29, 2014
Posts
30
Reaction score
3
Napenda sana tabia zake ila tatzo ni mweusi na mimi napenda wanawake weupe.Moyo hautaki kumuacha, nafsi inasita kumuoa nahisi nitakua natamani sana weupe, nipo njia panda coz ni wife material sana.

Nishurini jamani nimuoe hata kama nafsi ipo nusu nusu kwake?
 
Napenda sana tabia zake ila tatzo ni mweusi na mm napenda wanawake weupe
Moyo hautak kumuacha, nafsi inasita kumuoa nahsi ntakua nataman sana weupe, nipo njia panda coz ni wife material sana.
Nishurin jaman nimuoe hata kama nafsi ipo nusu nusu kwake???

Kwani unaowa rangi yake au yeye mwenyewe..??
 
Leo umenikumbusha wimbo wa cheusi mangala.
Cheusi mangala....x 2

Huu wimbo una mashairi safi sana- I dedicate it to all JF Ladies

Chorus
Cheusi Mangala usibadili mwendo huo Mangala eehe Mangala eehe Binti Afrika

Verse
Kila kwenye chombo baharini kuna nahodha, nahodha wangu ni wewe mawimbi kuyakata chombo kisiende mrama tupate fika salama

Rudia chorus

Verse
Ninajisikia ninaposikia heshima na upole wako kwa watu wa pembeni usije kata tamaa tukose wakututetea

pia pitia hii thread: https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/77480-mashairi-wimbo-cheusi-mangala.html
 
Yan kama naogopa kuingia kwenye ndoa hv... Alaf nahs ntajuta kumkosa nikmuacha coz ananpenda sana
 
Yan kama naogopa kuingia kwenye ndoa hv... Alaf nahs ntajuta kumkosa nikmuacha coz ananpenda sana
acha ujinga wewe embu muache dada wa watu apate wa kumfaaa na si wewe kitoto bado unabalehe inakusumbua
 
mweusi waachie wanaopenda hizo rangi we hujui thamani yake, subiri utapata nyeupe yako
 
kama huna mpango nae kisa ni mweusi ,mwonyeshe njia ya kutokea kuliko kumpotezea muda dada wa watu.....!

ila kumbuka mapenzi ya siku hizi ni bahati nasibu kumpata atakaye kupenda
 
Ha ha ha we jamaa bhana!,chukua jiko hilo utakuja kujuta na kujilaumu kwa kumuacha...
 
kama huna mpango nae kisa ni mweusi ,mwonyeshe njia ya kutokea kuliko kumpotezea muda dada wa watu.....!

ila kumbuka mapenzi ya siku hizi ni bahati nasibu kumpata atakaye kupenda

Thanks umeongea kkubwa!!
 
Yan kama naogopa kuingia kwenye ndoa hv... Alaf nahs ntajuta kumkosa nikmuacha coz ananpenda sana

Better a clear rejection, than a fake promise! Just listen to your heart, afu fanya uamuzi mapema. USIMPOTEZEE muda dada wa watu.
 
Back
Top Bottom