Ushauri nimuache au nifanyeje?

Ushauri nimuache au nifanyeje?

Love doesnt ask why
maradhi sio tatizo ktk mapenzi ila ww HUMPENDI na ndo mana unawaza kumuacha

Emu acha majibu mapesi kwenye maswali magumu...! How many timez you girls mnatuacha ss wanaume simply because umepata bwana mwenye pesa zaidi ya mpenzio sasa hapo ni pesa ambazo zinaweza kutafutwa na zikaoatikana ila kwasababu mnapenda sana mteremko na vitu vya bwerere mnatutosa kama hamtujui how comes kwa ugonjwa mkubwa kama huu useme siyo sababu ya mtu kumwacha mwenziwe!
 
Kwa kweli niliposoma hiyo story hata mimi nimeshangaa, kati ya magonjwa ambayo mtu hawezi kuyaficha kwa mtu unayeonana naye mara kwa mara ni Sickle Cell...lazima ungejua kuwa ni mgonjwa! Labda kama ana Sickle Cell trait, ambayo mbebaji wa trait si lazima awe na dalili. Sickle Cell kama ugonjwa haisababishi kuogopa..lakini muathirika wa huo ugonjwa kuna uwezekano mkubwa wa kuapata athari za kisaikolojia akawa muoga na kutumia uongo kujilinda. Japo sioni link kati ya uongo wake na ugonjwa huo...Wagonjwa wa Sickle Cell huudhuria clinic maalum kila mwezi, muombe uende naye siku yake ya clinic utaujua ukweli.
Mkuu umesema ukweli kwa mjibu wa maelezo yake aliniambia kuwa anadanganya kama sehemu ya kujilinda sasa mimi binafsi sikumwelewa! Vipi kuhusu life span yake sickle cell victim tofauti na trait anaweza kuishi muda gani?
 
Mkuu umesema ukweli kwa mjibu wa maelezo yake aliniambia kuwa anadanganya kama sehemu ya kujilinda sasa mimi binafsi sikumwelewa! Vipi kuhusu life span yake sickle cell victim tofauti na trait anaweza kuishi muda gani?

Sickle Cell Trait ina maana ni mtu tu wa kawaida lakini amebeba genes za Sickle Cell Disease. Hapati athari na complications anazopata mgonjwa wa Sickle Cell Disease ambazo ndio hupelekea kufupisha life span ya mgonjwa. Wagonjwa wa Sickle Cell Disease mara nyingi hawana maisha marefu kama watu wa kawaida, zaidi ya nusu hufa kabla ya miaka 50...wakati Sickle Cell Trait wanakuwa na maisha marefu tu kama watu wengine kawaida.
 
Sickle Cell Trait ina maana ni mtu tu wa kawaida lakini amebeba genes za Sickle Cell Disease. Hapati athari na complications anazopata mgonjwa wa Sickle Cell Disease ambazo ndio hupelekea kufupisha life span ya mgonjwa. Wagonjwa wa Sickle Cell Disease mara nyingi hawana maisha marefu kama watu wa kawaida, zaidi ya nusu hufa kabla ya miaka 50...wakati Sickle Cell Trait wanakuwa na maisha marefu tu kama watu wengine kawaida.

Poa! Mkuu kwa ufafanuzi.
 
kama mtu ana sickle cell please usimuoe it may sound cruel but we have only 1 life, abaki amuombe mungu wake amponye tu zaid ya apo ni mateso maisha yako yote!!!
 
kama mtu ana sickle cell please usimuoe it may sound cruel but we have only 1 life, abaki amuombe mungu wake amponye tu zaid ya apo ni mateso maisha yako yote!!!

Asante mkuu kwa ushauri...!
 
Back
Top Bottom