Unazidi kujichelewesha kuandika thread
Siku hizi tunaoa tayar mwanamke ana mimba ya miezi 2..mama mkwe kaona umezogoaKiongoz ndoa mbona ina miez 2 tu tayar mamamkwe analeta kashkash...kwel!!? Au amemaanisha nn...
An ant on the move does more than a dozing ox.
Msg hii imenitoa kwenye mood na usingizi wangu umepaa kabisa. Badala ya kulala naona kama kumeishapambazuka na siwez kulala tena. Mama mkwe ameniandikia...
"Lala unono mwanangu. Leo nilikua na siku ndefu lakn pia nilitingwa nikashindwa kukujulia hali. Vipi mipango yako imeendaje? Na mwenzio je, anaendeleaje? Nawaombea kila ninapolala ili usingizi wenu uzae matunda maana siku zinakwenda. Nawapenda sana, nisikucheleweshe."
Nawaza jinsi ya kuijibu, lakini najiskia kufadhaika pia