USHAURI: Nimepigwa na fundi, nimchukulie hatua gani?

Udochi

JF-Expert Member
Jul 25, 2015
761
1,006
Jana niliafikiana na fundi kazi ya kutengeneza geti. Akanipa mchanganuo wa vifaa, ambapo miongoni mwa mahitaji ni square pipes 11 za inch. 1.5.

Fundi alinitajia bei ya Sh. 27,000/- kwa kila moja, hivyo jumla ni 297,000/-,
Nami nikampatia pesa taslim (nilighafilika tu) na advance ya kazi.

Leo nimepitia pale hardware kufanya maulizo ya vitu, Kumbe zile square pipes zinauzwa Sh. 17,000/- ambapo kwa pipes 11 ni sawa na Sh. 187,000/-.

Ambapo 297,000 - 187,000 = 110,000/-.
Hivyo fundi amenipiga 110,000/-,
Na bado ananidai Labour Charge ya 100,000/-.

Je, ni sawa mimi ku deal naye kisheria juu ya pesa aliyonipiga kwenye vifaa?
 
Hujajua tu kuwa mafundi sehemu kubwa wanayopatiaga hela ni kwenye vifaa. Ungelijua hili ungeenda dukani mwenyewe

Mface fundi mwambie aache ukuda. Mwambie straight kuwa umeenda dukani kuulizia bei na umeijua akurudishie pesa yako au umkate kwenye gharama zake (Hapa mtasumbuana sana jiandae) na akikataa mwambie unaomba vifaa vyako akupe na risiti zako za efd kisha akurudishie advance unakwenda kutafuta fundi mwingine. Simple tu. Mwambie hujisikii tena kufanya nae kazi umeamua kutafuta fundi mwingine
 
Hujajua tu kuwa mafundi sehemu kubwa wanayopatiaga hela ni kwenye vifaa. Ungelijua hili ungeenda dukani mwenyewe

Mface fundi mwambie aache ukuda. Mwambie straight kuwa umeenda dukani kuulizia bei na umeijua akurudishie pesa yako au umkate kwenye gharama zake (Hapa mtasumbuana sana jiandae) na akikataa mwambie unaomba vifaa vyako akupe na risiti zako za efd kisha akurudishie advance unakwenda kutafuta fundi mwingine. Simple tu. Mwambie hujisikii tena kufanya nae kazi umeamua kutafuta fundi mwingine
Upo sahihi,
Ila ameniambia kuwa kazi ameshaifanya, kilichobaki ni kunikabidhi na mimi kumpa pesa ya ufundi iliyobakia.
 
Kwanza mwambie alilete gate nyumban Kisha mwambie he'll Leo Sina hvyo baada siku kadhaa utampigiaa alikubali unatulia baadae akikupigia kutaka pesa mwambie nimefanya uchunguz wangu paipu hzo Ni elf 17000 tofauti na elfu 27000 uliyonitajia wee hvyo hatudaiani Zaid nitakupa elf 30000 tu bas siyo Zaid na mwbie awe mwaminifu vinginevyo utaamuaribia Kazi
 
nakupa bidhaa na bei yake eitha ukanunue uniletee nifanye kazi ama laah ukipenda unipe nikanunue mwenyewe.
Ilipaswa ukaulize kwanza. ww ndio mkuda mkuu. Au ungedai risiti inayoonyesha gharama halisi. mbali na hvyo je kama ndio huwa napigwa na muuzaji je?
 
Jana niliafikiana na fundi kazi ya kutengeneza geti. Akanipa mchanganuo wa vifaa, ambapo miongoni mwa mahitaji ni square pipes 11 za inch. 1.5.

Fundi alinitajia bei ya Sh. 27,000/- kwa kila moja, hivyo jumla ni 297,000/-,
Nami nikampatia pesa taslim (nilighafilika tu) na advance ya kazi.

Leo nimepitia pale hardware kufanya maulizo ya vitu, Kumbe zile square pipes zinauzwa Sh. 17,000/- ambapo kwa pipes 11 ni sawa na Sh. 187,000/-.

Ambapo 297,000 - 187,000 = 110,000/-.
Hivyo fundi amenipiga 110,000/-,
Na bado ananidai Labour Charge ya 100,000/-.

Je, ni sawa mimi ku deal naye kisheria juu ya pesa aliyonipiga kwenye vifaa?
Mkuu nahisi ungeulizia dukani bei za square pipes badala kuwaulizia jamaa wa hapo kwenye workshop. Mara ya mwisho nimenunua square pipe ya 1' x 1' kwa tsh 18000, 1' x 1.5' kwa tsh 22000 na 1.5' x1.5' kwa tsh 28000. Hii ilikuwa miezi miwili ilopita.
 
Siku nyingine nenda dukani mwenyewe, mafundi wengi sio waaminifu.
 
Mkuu nahisi ungeulizia dukani bei za square pipes badala kuwaulizia jamaa wa hapo kwenye workshop. Mara ya mwisho nimenunua square pipe ya 1' x 1' kwa tsh 18000, 1' x 1.5' kwa tsh 22000 na 1.5' x1.5' kwa tsh 28000. Hii ilikuwa miezi miwili ilopita.
Mkuu, ngoja niulizie hiki Kipengele,
Nikijiridhisha na ubora wa bei husika,
Nitaachana na kudili na huyu fundi.
 
Jana niliafikiana na fundi kazi ya kutengeneza geti. Akanipa mchanganuo wa vifaa, ambapo miongoni mwa mahitaji ni square pipes 11 za inch. 1.5.

Fundi alinitajia bei ya Sh. 27,000/- kwa kila moja, hivyo jumla ni 297,000/-,
Nami nikampatia pesa taslim (nilighafilika tu) na advance ya kazi.

Leo nimepitia pale hardware kufanya maulizo ya vitu, Kumbe zile square pipes zinauzwa Sh. 17,000/- ambapo kwa pipes 11 ni sawa na Sh. 187,000/-.

Ambapo 297,000 - 187,000 = 110,000/-.
Hivyo fundi amenipiga 110,000/-,
Na bado ananidai Labour Charge ya 100,000/-.

Je, ni sawa mimi ku deal naye kisheria juu ya pesa aliyonipiga kwenye vifaa?
Wajinga ndio waliwao,
SISI TOZO YETU ILI MRADI TUME PATA
JamiiForums1773953752.jpg
JamiiForums905681125.jpg
 
Back
Top Bottom