kakabahati
Member
- Oct 28, 2013
- 62
- 22
Mimi ni mwanaume mwenye miaka 31,nina mpenzi wangu tumedumu nae kwenye mahusiano takribani miaka miaka 3,sasa umefika wakati mimi na yeye tumeona ni wakati muafaka wa kuishi pamoja,tumeshatambulishana kwa wazazi wote .
Bahati mbaya kuna kitu nilimficha kwa sababu kila nilipokuwaga najaribu kumweleza alikuwa anapanic sana,sasa imefika wakati nimeona nimweleze ukweli tuu,na jana ndio ilikuwa siku yenyewe nilipomwambia mwenzangu kuwa mimi tayari mwenzio na mtoto na ana miaka miaka3.
Sasa ni analia toka jana akinilaumu kwa nini sikumwelezaga siku zote,na mimi nimemwambia ni kwa sababu kila nilipokuwa naanza kukueleza ulikuwa unabadilika sana nikawa nashindwa, lakini naona mwenzangu haelewi,naombeni mnishauri nifanyeje mwenzenu,NOTE: nampenda sanaaaa
Bahati mbaya kuna kitu nilimficha kwa sababu kila nilipokuwaga najaribu kumweleza alikuwa anapanic sana,sasa imefika wakati nimeona nimweleze ukweli tuu,na jana ndio ilikuwa siku yenyewe nilipomwambia mwenzangu kuwa mimi tayari mwenzio na mtoto na ana miaka miaka3.
Sasa ni analia toka jana akinilaumu kwa nini sikumwelezaga siku zote,na mimi nimemwambia ni kwa sababu kila nilipokuwa naanza kukueleza ulikuwa unabadilika sana nikawa nashindwa, lakini naona mwenzangu haelewi,naombeni mnishauri nifanyeje mwenzenu,NOTE: nampenda sanaaaa