Huyo mchumba wako humpendi, na hayo mapenzi unayo sema yanaonekana ni ya kinafiki. Kwa maana kama ungempenda mchumba wako, ungemlinda. Inaoneka wewe bado utoto unakusumbua. Sasa cha kufanya, oa uliyempa mimba.
Pia anaweza akawa amekutegeshea tu sababu huwa anakuzimikia tangu kitambo, labda hiyo mimba alidungwa na mwingine kwanini aanze tu eti aseme aje aishi na wewe mjini, labda anataka tu wewe ndio uwe daraja la yeye kuja dar. Think big mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.