scientificall
JF-Expert Member
- Jun 4, 2015
- 460
- 360
Baada ya kukaa mjini mda mrefu mwezi ulopita niliamua kwenda kijijini kuwasalimia wazazi. Katika mizunguko ya hapa na pale hapo kijijini nilikutana na rafiki angu wa toka kitambo japo sikua na mpango nae tena katika shamrashara za furaha tele moyoni akaamua anizawadie penzi nami sikuona shida kutokana na kulazimisha kwake nikamgegeda japo mara moja.
Chaajabu baada ya kurudi mjini Jana binti ananpigia simu kua anamimba yangu na anahitaji kunifata tuishi wote mjini vinginevyo anasema anaitoa mimba yangu kama kufa afe na kwetu kutoa mimba lazima mtu afe sababu ndo damu ya ukoo wetu ilivyo, nami nashindwa nifanye nini kwani tayari ninamchumba na anatambulika hadi nyumbani na kwao na nampenda sana siwezi msaliti na huku nilipo nipo masomoni japo uhuru wa kuishi na mke upo lakini nahitaji niishi na mke wangu.
Naombeni ushauri kwani binti kanipa mwezi mmoja wa kutoa maamuzi ya kutoa mimba au ni kubali kuishi nae kama mke binti sio mwanafunzi.
Nawasilisha wanaJF, matusi sipendi.
Chaajabu baada ya kurudi mjini Jana binti ananpigia simu kua anamimba yangu na anahitaji kunifata tuishi wote mjini vinginevyo anasema anaitoa mimba yangu kama kufa afe na kwetu kutoa mimba lazima mtu afe sababu ndo damu ya ukoo wetu ilivyo, nami nashindwa nifanye nini kwani tayari ninamchumba na anatambulika hadi nyumbani na kwao na nampenda sana siwezi msaliti na huku nilipo nipo masomoni japo uhuru wa kuishi na mke upo lakini nahitaji niishi na mke wangu.
Naombeni ushauri kwani binti kanipa mwezi mmoja wa kutoa maamuzi ya kutoa mimba au ni kubali kuishi nae kama mke binti sio mwanafunzi.
Nawasilisha wanaJF, matusi sipendi.