Ushauri: Nimempa mimba msichana na tayari nina mchumba

Ushauri: Nimempa mimba msichana na tayari nina mchumba

scientificall

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2015
Posts
460
Reaction score
360
Baada ya kukaa mjini mda mrefu mwezi ulopita niliamua kwenda kijijini kuwasalimia wazazi. Katika mizunguko ya hapa na pale hapo kijijini nilikutana na rafiki angu wa toka kitambo japo sikua na mpango nae tena katika shamrashara za furaha tele moyoni akaamua anizawadie penzi nami sikuona shida kutokana na kulazimisha kwake nikamgegeda japo mara moja.

Chaajabu baada ya kurudi mjini Jana binti ananpigia simu kua anamimba yangu na anahitaji kunifata tuishi wote mjini vinginevyo anasema anaitoa mimba yangu kama kufa afe na kwetu kutoa mimba lazima mtu afe sababu ndo damu ya ukoo wetu ilivyo, nami nashindwa nifanye nini kwani tayari ninamchumba na anatambulika hadi nyumbani na kwao na nampenda sana siwezi msaliti na huku nilipo nipo masomoni japo uhuru wa kuishi na mke upo lakini nahitaji niishi na mke wangu.

Naombeni ushauri kwani binti kanipa mwezi mmoja wa kutoa maamuzi ya kutoa mimba au ni kubali kuishi nae kama mke binti sio mwanafunzi.

Nawasilisha wanaJF, matusi sipendi.
 
No where to run, maji yamekwisha mwagika. Huna budi kumuoa huyo mwanamke uliye mpa mimba, cha msingi mtoto akizaliwa mchukue vipimo kama ni wako oa na ulee mtoto. HAPA KAZI TU!
 
Baada ya kukaa mjini mda mrefu mwezi ulopita niliamua kwenda kijijini kuwasalimia wazazi. Katika mizunguko ya hapa na pale hapo kijijini nilikutana na rafiki angu wa toka kitambo japo sikua na mpango nae tena katika shamrashara za furaha tele moyoni akaamua anizawadie penzi nami sikuona shida kutokana na kulazimisha kwake nikamgegeda japo mara moja.

Chaajabu baada ya kurudi mjini Jana binti ananpigia simu kua anamimba yangu na anahitaji kunifata tuishi wote mjini vinginevyo anasema anaitoa mimba yangu kama kufa afe na kwetu kutoa mimba lazima mtu afe sababu ndo damu ya ukoo wetu ilivyo, nami nashindwa nifanye nini kwani tayari ninamchumba na anatambulika hadi nyumbani na kwao na nampenda sana siwezi msaliti na huku nilipo nipo masomoni japo uhuru wa kuishi na mke upo lakini nahitaji niishi na mke wangu.

Naombeni ushauri kwani binti kanipa mwezi mmoja wa kutoa maamuzi ya kutoa mimba au ni kubali kuishi nae kama mke binti sio mwanafunzi.

Nawasilisha wanaJF, matusi sipendi.
Mkuu mbona umeshamsalit huyo mchumba any way pole but ndio shida ya tamaaa mpaka kinga umesahau kapime kwanza ili ujue afyaaa baba kijacho
 
Mkuu hiyo ni zawadi ya usaliti umezawadiwa na wew
 
Hebu mchukue fasta huyo uliye mpa mimba tayari, unataka nani aje kuwa baba wa kambo!!?
Huyo asiye na mimba tuachie, una ongeza group la ma single mothers bila sababu na mtoto inafaa alelewe na pande zote mbili vzuri.
Haya changamka kabebe ulo mzalisha fasta
 
Kuna jamaa nae kamzalisha binti wa watu hapo rombo kisha saivi anaanza kumwambia ana mchumba na wameshatambulishana kwao.

Kama mimi ni mwanamke nakukata hiyo mboo uende kwa huyo mchumba wako mkaishi wote.
 
Kweli wa kijijini wa kijijini tu
Asa ye aliamua kukuzawadia penzi katika siku zake za hatari

Alipanga kufanya ayo yote ili akuharibie tu. . . Na amefanikiwa

Pole mkuu
 
Braza we mwambie ukweli kwamba upo tayari kulea na mtoto ila hujapanga kumwoa
 
Huu ukarimu mwingine ni majanga eti unazawadiwa penzi!!!!!
 
Kaka wewe ni Risk taker! ivi unalalaje na mwanamke bila kinga na unajua una mchumba unaempenda? umezawadiwa hakuona zawadi yoyote yakukupa isipokua kukuvulia ngua na weye mwenyewe ulivykua huna khiyana ukaipokea kwa
heshima zote bila pingamizi, mwambie asitoe azae ulee mwanao...
 
Baada ya kukaa mjini mda mrefu mwezi ulopita niliamua kwenda kijijini kuwasalimia wazazi. Katika mizunguko ya hapa na pale hapo kijijini nilikutana na rafiki angu wa toka kitambo japo sikua na mpango nae tena katika shamrashara za furaha tele moyoni akaamua anizawadie penzi nami sikuona shida kutokana na kulazimisha kwake nikamgegeda japo mara moja.

Chaajabu baada ya kurudi mjini Jana binti ananpigia simu kua anamimba yangu na anahitaji kunifata tuishi wote mjini vinginevyo anasema anaitoa mimba yangu kama kufa afe na kwetu kutoa mimba lazima mtu afe sababu ndo damu ya ukoo wetu ilivyo, nami nashindwa nifanye nini kwani tayari ninamchumba na anatambulika hadi nyumbani na kwao na nampenda sana siwezi msaliti na huku nilipo nipo masomoni japo uhuru wa kuishi na mke upo lakini nahitaji niishi na mke wangu.

Naombeni ushauri kwani binti kanipa mwezi mmoja wa kutoa maamuzi ya kutoa mimba au ni kubali kuishi nae kama mke binti sio mwanafunzi.

Nawasilisha wanaJF, matusi sipendi.
Sasa umsaliti mara ngapi huyo mchumba wako.
 
Back
Top Bottom