Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,323
- 115,323
Hahahaaaa. Itakuwa kinachomliza ni faida ya siku moja aliyoipata ambayo hakuitarajia.Wakati analima shamba la mteja wake hawakujua kama mvua zitanyesha na kupata mazao ! sasa hivi analia kupata mazao kutokana na kilimo stadi aklicholima kwenye shamba la mteja