Ushauri: Nimeitwa Polisi

Hao majambazi na matapeli mbona hawakamatwi ki rahisi hivyo?
mtafute polisi mmoja pale pale central... ... yataisha kilaini!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakikisha ni polisi kweli na sio tapeli, ukajikuta unaingia hasara ya kumlipa wakili kumbe hakuna cha wito wala nini.
Kama ukijiridhisha ni polisi kweli, jitathimini mienendo yako. Ukijua kuna mahali ulibugi, fix mapema, maana wakikutia nguvuni utakosa muda wa kufukia madudu yako, ukishafix sasa, beba mwanasheria nenda nae.
Kama huna madudu yoyote, basi mchukue msela wako tu na barua za zamana kutoka kwa mtendaji ziwe stand by.
Jiamini, nendeni mkawasikilize.
 
Me alinambia niende central au wanaweza wakanifuata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dogo kama ulinunua simu mkononi usiende vunja line na simu ipasue uendelee na mambo yako vinginevyo utapewa kesi ya mauaji na itakutoka zaidi ya M kadhaa kusawazisha mambo

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu sio ushauri sahihi. Watampata kupitia namba za aliokuwa anawasiliana nao na atakuwa ameongeza kesi nyingine ya kuzuia Afisa kutekeleza majukumu yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuitwa sio tatizo ,mie naona tatizo ni kuisadia Polisi hapo!!
 
Well said mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wee jamaa no mtaalam wa analysis nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabla hujaenda jiridhishe kwanza kama anayekuita ni.polisi kweli maana hata matapeli wanaweza kwenda kukudubiri pale. Jichunguze mienendo yako ikoje? Watu unaowasiliana nao, vijiwe unavyokwenda, michepuko, kama umeshawahi kumtukana mtu kupitia simu, kama umewahi kumwazima mtu simu yako, kama umewahi kupoteza line/simu na hukublock au kutoa taarifa, shughuli zako ni halali?, hudaiwi nk ili uweze kujibu maswali vema. Nenda kapate ushauri wa mwanasheria kabla hujaenda na nenda na mtu mzima mwenye uwezo wa kukudhamini ikibidi na pitia namba za washkaji zako uone mara ya mwisho mmewasilana lini nk nk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…