Madayu sports
New Member
- Mar 26, 2024
- 2
- 7
Naomba ushauri cha kufanya ili niweze kusave pesa zangu maana nikikamata milioni 1 ndani ya Wiki moja inaisha, mpaka najiona nina jini Makata fedha...๐๐๐
peleka kwa fixed accountNaomba ushauri cha kufanya ili niweze kusave pesa zangu maana nikikamata milioni 1 ndani ya Wiki moja inaisha, mpaka najiona nina jini Makata fedha...๐๐๐
Sasa akitoa vyote hivi si hela itaisha?TOA ZAKA NA SADAKA....PIA DHABIHU
ukibadilisha life style yako ya maisha lazima utaweza kusevu.Naomba ushauri cha kufanya ili niweze kusave pesa zangu maana nikikamata milioni 1 ndani ya Wiki moja inaisha, mpaka najiona nina jini Makata fedha...๐๐๐
Hakuna kufilisika katika kutoa.Sasa akitoa vyote hivi si hela itaisha?
#YNWA
Ndio niteHakuna kufilisika katika kutoa.
Formula ngumu lakini ndo ukweli wenyewe kwa anayesaka utajiriukibadilisha life style yako ya maisha lazima utaweza kusevu.
kusevu kunahitaji kuijibana kisawasawa kwenye matumizi,
Nakupa code za kusevu pesa:
1. Usinunue maji dukani, kunywa kandoro
2. Usinywe bia au wine, kunywa mbege ulanzi au gongo
3. Usimruhusu mtu achaji simu kwako, atamaliza umeme
4.Inaponyesha mvua sambaza ndoo na masufuria mpaka kwa majirani uweze kusave bili ya maji
5. ukiamka jiweke bize na pirika pirika ili usahau kunywa chai
6. usipande gari masafa chini ya kilomita 10
7. Dagaa nayo ni mboga
8. Hakikisha unachana gamba la dawa ya msuwaki kukomba uliyobakia kabla ya kutupa
9. umeme ukizimwa wahi kitandani ulale, usiwashe tochi utamaliza chaji.
10. chumvi inaweza kutumika kama mboga kusukumia ugali
Mwisho. ukifata hizo code kikamilifu lazima uwe tajiri
Kuna siri kubwa katika kutoa zaka mkuu, matajiri wote wanajua siri hii. Mimi nilikuwa sitoi zaka nikidhani eti fedha itaisha ila baada ya kupitia changamoto nimejaribu formulae hii.Sasa akitoa vyote hivi si hela itaisha?
#YNWA
1. Ndio nitoe......Kuna siri kubwa katika kutoa zaka mkuu, matajiri wote wanajua siri hii. Mimi nilikuwa sitoi zaka nikidhani eti fedha itaisha ila baada ya kupitia changamoto nimejaribu formulae hii.
It pays a lot mkuu, utajiri ni siri na moja siri ya utajiri ambayo husikii motivation speakers au matajiri wenyewe wakisema ni hii ya Utoaji hasa zaka.
Haujaamua tu kuwa serious na malengo yako (Kama yapo).Naomba ushauri cha kufanya ili niweze kusave pesa zangu maana nikikamata milioni 1 ndani ya Wiki moja inaisha, mpaka najiona nina jini Makata fedha...๐๐๐
ukibadilisha life style yako ya maisha lazima utaweza kusevu.
kusevu kunahitaji kuijibana kisawasawa kwenye matumizi,
Nakupa code za kusevu pesa:
1. Usinunue maji dukani, kunywa kandoro
2. Usinywe bia au wine, kunywa mbege ulanzi au gongo
3. Usimruhusu mtu achaji simu kwako, atamaliza umeme
4.Inaponyesha mvua sambaza ndoo na masufuria mpaka kwa majirani uweze kusave bili ya maji
5. ukiamka jiweke bize na pirika pirika ili usahau kunywa chai
6. usipande gari masafa chini ya kilomita 10
7. Dagaa nayo ni mboga
8. Hakikisha unachana gamba la dawa ya msuwaki kukomba uliyobakia kabla ya kutupa
9. umeme ukizimwa wahi kitandani ulale, usiwashe tochi utamaliza chaji.
10. chumvi inaweza kutumika kama mboga kusukumia ugali
Mwisho. ukifata hizo code kikamilifu lazima uwe tajiri