Habari Jf,
Mimi ni kijana wa kiume, miaka ishirini na sita [26], Nimetoka mkoani na kuja kuishi huku dalisalama kikazi. Kama mjuavyo huaba wa nyumbaπ‘π‘π‘π‘ za kupanga nikajikuta nimepanga katika nyumba ya watu wengi.
Kwa kusamalaizi tu maana wengine ni wavivu wa kusoma π π π Kwenye ile nyumba kuna wapangaji singo mama kama watatuπ©βπ©βπ¦π©βπ©βπ¦π©βπ©βπ¦ kati ya wapangaji saba. Wawili ni wadada ambao ni jobless na waliobaki ni majamaaπ¬π¬ kama mimi ambao nao hawajaoa Ila wanakujaga home mara chache.
MSALA SASA. Hapa nimetembea na hawa wadada wote na single mama wawili pia nimepita nao, kasheshe inakuja wiki ijayo mpenzi wanguππ anakuja kutoka kule jirani na makao makuu [CHATTLE]πππ yeye anatokea ROCK CITY. Kuna wadada hapa wamenambia kama nikimleta mpenzi wangu watamwambia kila kitu.Hapa nimeshindwa nifanyaje na kumzuia asije siwezi maana atajua nina mcheat.
Naombeni msada wa mawazo nifanyeje?