Ushauri: Nifanye nini katika hili

Ushauri: Nifanye nini katika hili

Kabla hujafanya maamz ya kumwambia aje, je umepima mkuu, yule mdudu wa zaman bado yupo kimya kmya🀫, Ila acha ngono kijana ww tunalingana kiumri kabisa ila kwa hayo matendo hatulingani mkuu
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
 
Deal with the consequences if your actions.
 
Naomba kufahamu Kama kabla ya kutembea na hao wote ulikuwa umeshajiunga jf au lah..
 
Habari Jf,

Mimi ni kijana wa kiume, miaka ishirini na sita [26], Nimetoka mkoani na kuja kuishi huku dalisalama kikazi. Kama mjuavyo huaba wa nyumba🏑🏑🏑🏑 za kupanga nikajikuta nimepanga katika nyumba ya watu wengi.

Kwa kusamalaizi tu maana wengine ni wavivu wa kusoma πŸ˜‰ πŸ˜‰ πŸ˜‰ Kwenye ile nyumba kuna wapangaji singo mama kama watatuπŸ‘©β€πŸ‘©β€πŸ‘¦πŸ‘©β€πŸ‘©β€πŸ‘¦πŸ‘©β€πŸ‘©β€πŸ‘¦ kati ya wapangaji saba. Wawili ni wadada ambao ni jobless na waliobaki ni majamaaπŸ‘¬πŸ‘¬ kama mimi ambao nao hawajaoa Ila wanakujaga home mara chache.

MSALA SASA. Hapa nimetembea na hawa wadada wote na single mama wawili pia nimepita nao, kasheshe inakuja wiki ijayo mpenzi wanguπŸ’•πŸ’• anakuja kutoka kule jirani na makao makuu [CHATTLE]πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ yeye anatokea ROCK CITY. Kuna wadada hapa wamenambia kama nikimleta mpenzi wangu watamwambia kila kitu.Hapa nimeshindwa nifanyaje na kumzuia asije siwezi maana atajua nina mcheat.

Naombeni msada wa mawazo nifanyeje?
Usihofu, endelea kuishi hapo ulipopanga ila niletee huyo demu kwangu nimsitiri.
 
Fasta test mitambo ujue iwapo wanamaanisha au wanatania.

Fanya hivi;
Tafuta malaya moja matata sana yani dizaidi kubwakubwa,takotako,
yale mtu akiliona shurti aliangalie mara mbili,akiliangalia na kulilinganisha na wewe anakusikitikia.
Hili sio lazima 'ulile' unalipanga kabisa kuwa huna mpango wa kulila ila kuna mtu unataka ajue una mpenzi mueleze picha nzima.
(utalilipa lakini)
Hilo limalaya ikiwezekenana ingia nalo nyumbami mchana kweupe muda unaojua ataonekana kwa kila mtu.
kisha sikilizia kitakachotokea.
 
Fasta test mitambo ujue iwapo wanamaanisha au wanatania.

Fanya hivi;
Tafuta malaya moja matata sana yani dizaidi kubwakubwa,takotako,
yale mtu akiliona shurti aliangalie mara mbili,akiliangalia na kulilinganisha na wewe anakusikitikia.
Hili sio lazima 'ulile' unalipanga kabisa kuwa huna mpango wa kulila ila kuna mtu unataka ajue una mpenzi mueleze picha nzima.
(utalilipa lakini)
Hilo limalaya ikiwezekenana ingia nalo nyumbami mchana kweupe muda unaojua ataonekana kwa kila mtu.
kisha sikilizia kitakachotokea.

πŸ€ͺπŸ€ͺπŸ€ͺπŸ€ͺπŸ€ͺπŸ€ͺπŸ€ͺπŸ€ͺ
 
Naomba kufahamu Kama kabla ya kutembea na hao wote ulikuwa umeshajiunga jf au lah..
πŸ–•πŸ–•πŸ–•πŸ–•πŸ–•πŸ–•πŸ–•
 
LEO SHULE UJAENDA EEEH MWANDIKO TU UNAONESHA IQ YAKO
 
Back
Top Bottom