Mzigua wa kuchovya
Member
- May 4, 2017
- 57
- 63
Habari zenu
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza
Ndugu yangu kipenz analazimishwa kupeleka mchumba nyumbani na aolewe sababu kubwa ni amelelewa sana na ndugu hivyo wengine wanataka aolewe kwa nia njema na wengine wanataka aolewe kwa maana wamemtafutia mchumba wao ila sasa tatizo ni tofauti na dini yake na ila ndugu yangu hataki kuolewa pia na huyu mtu anajiweza kipesa yeye hataki mwanaume amuoe kwasababu ya hela alizonazo anataka mwanaume ampende
Hivyo yeye hayupo tayari kuingia kwenye ndoa kwasababu anataka mtu aliyempenda na sio kwasababu ya mali.
Sasa yupo tu analia hana cha kufanya na yupo katika mahusiano mabichi ambayo hawezi kumwambia huyo mkaka amuoe itakuwa ni ajabu na mapema sana
Sasa hajielewi ukizingatia hao hao ndugu ndo wamemlea tangu akiwa na miaka 11
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza
Ndugu yangu kipenz analazimishwa kupeleka mchumba nyumbani na aolewe sababu kubwa ni amelelewa sana na ndugu hivyo wengine wanataka aolewe kwa nia njema na wengine wanataka aolewe kwa maana wamemtafutia mchumba wao ila sasa tatizo ni tofauti na dini yake na ila ndugu yangu hataki kuolewa pia na huyu mtu anajiweza kipesa yeye hataki mwanaume amuoe kwasababu ya hela alizonazo anataka mwanaume ampende
Hivyo yeye hayupo tayari kuingia kwenye ndoa kwasababu anataka mtu aliyempenda na sio kwasababu ya mali.
Sasa yupo tu analia hana cha kufanya na yupo katika mahusiano mabichi ambayo hawezi kumwambia huyo mkaka amuoe itakuwa ni ajabu na mapema sana
Sasa hajielewi ukizingatia hao hao ndugu ndo wamemlea tangu akiwa na miaka 11