Ushauri: Nawezaje kuishi nao vizuri?

Ushauri: Nawezaje kuishi nao vizuri?

Kuwachukia na kuwatamani NI kuwabeba moyoni watu unajichelewesha na unadhurumu amani yako na kujipa uchungu tu
 
Pole ndugu zako ni hao waliokujali wakati wa shida. Kwenda mara nyingi huko mwishowe watakufanyia mabaya wanayojua wao hasa kama ni Kanda ya ziwa.
 
Unacho tafutwa ni kuuzwa na wewe yaishe. Zimwi likujualo halikuli ukakwisha .

Mzee achana nao hao watu sio wazuri kwako kabisa walikua tayari ufe Mungu kwa bahati nzuri kakupigania umepona bado inaendelea kuwafata Tena ....?

Unacho kitafuta watakupatia soon
 
Unacho tafutwa ni kuuzwa na wewe yaishe. Zimwi likujualo halikuli ukakwisha .

Mzee achana nao hao watu sio wazuri kwako kabisa walikua tayari ufe Mungu kwa bahati nzuri kakupigania umepona bado inaendelea kuwafata Tena ....?

Unacho kitafuta watakupatia soon
Dah mm sio mzee
Lakin Asante kwa ushauri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom