Ushauri: Nawezaje kuishi nao vizuri?

Ushauri: Nawezaje kuishi nao vizuri?

Kikubwa ume pajua siku nyingine utakua unaenda kimya kimya tu
 
kula buyu ndugu zako ni hao ulio kua nao time uko na mashida
 
Yani ww ni kama mim sema tofauti ni ndogo me nlikuepo kweny msiba wa baba angu ....Lakin baada ya hapo nkashindwa kwenda chuo kwa sababu Mali zote walibeba wao..... Yani sidhani kama ntaweza kuwapenda hua namuomba Mungu msahama kwa hilo
 
Yani ww ni kama mim sema tofauti ni ndogo me nlikuepo kweny msiba wa baba angu ....Lakin baada ya hapo nkashindwa kwenda chuo kwa sababu Mali zote walibeba wao..... Yani sidhani kama ntaweza kuwapenda hua namuomba Mungu msahama kwa hilo

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Ni changamoto aisee mungu atupe ujasiri
 
nimetokea kukupenda tu kwa kweli.. una kitu cha tofauti.. hakika waliotaka kumuua yusufu ndio waliomtengenezea njia ya kuwa mkuu wa nchi.... una moyo wa msamaha
 
Maisha ni haya haya usingaike na mtu aliyezingua jana. Wapige chini songa mbele.
NB usipokuwa makini watakula kichwa mwenyewe mjini shule ila usiende na daftari
 
Acha kujipendekeza wewe, binadamu hatuna shukran utawasaidia na kuwapenda lkn wanaweza kuja kukupiga tukio ukajuta. Ila maamuzi ni yako
ni kweli binadamu huwa hawana shukrani na malipo yao mara zote huwa ni mabaya tu, ila hata akiwatendea ubaya atafaidika na nini au akiwashtaki kwa mtazamamo wangu akiamua kuawaacha ni sawa ila asiwatendee mabaya kama waliyomtendea
 
Haya maisha huwa yanavingi vizuri na vibaya vya kujifunza

Ni vyema ukaishi nao kwa upendo Ila usiwaamini

Binadamu ni kiumbe hatari sana

Kama wahawakuona thamani ya maisha yako ya kipindi hicho na ni watu wazima wanazijua shida za hii dunia Kama mtu

Hana Cha kumuwezesha baasi mioyo yao itakuwa bado inakuwinda
Ishi nao wale wakubwa kwa amani Ila usiwaamini
Ila mpende kila mmoja ambae alizaliwa baada ya tukio hapa utajisikia vizuri tu moyoni kuwa ni ndugu zangu
 
Pole mkuu...Kwa sasa hivi fanya mambo yako

Penda anayekupenda,basiiiii..

Walikuacha uteseke na mdogo wako wakati wanakula raha na pesa ya baba yenu..Wapotezee and move on..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom