Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,192
- 3,353
DadavuaUsifuge paka kwenye nyumba ya kupanga.. Mana Itakuwa ni kero kwa wenzako
Hakuna wanyama wazizinzi km paka mkuu, half hutokuja kuwafumania blv mee.., nilishawah wafuga siku ya kwanza tuu kana mademu km wannne hiv mlangoni, mpk nikahis ana jini mahaba, alivyozoea akaanza kuruka fency, Akaanza na dharau nikatimua kbsaa asaiv ashakua paka shume
Hakuna wanyama wazizinzi km paka mkuu, half hutokuja kuwafumania blv mee.., nilishawah wafuga siku ya kwanza tuu kana mademu km wannne hiv mlangoni, mpk nikahis ana jini mahaba, alivyozoea akaanza kuruka fency, Akaanza na dharau nikatimua kbsaa asaiv ashakua paka shume
Hahaha wataalamu wanasema paka akija kujisugua kwenye miguu yako eti ni ishara ya trustpaka wanapenda raha sana, sipendi paka alale kitandani kwangu(hiki kitu wanapenda sana,)
Alafu vile mtu ukikaa yeye anakuja kujisugulia kwenye miguu basi I hate hiyo tabia
true mkuu, unakuta anatoka kugegeda huko hajaoga huku ananyanyua mkia juu kwa hisia halaf kanajitupia kweny kochi nakat mm nina mwez sijagusa papuchu, sasa hio si dharau.daaaah Ila we jaa kiboko