Ushauri: Nataka nibadili rangi ya gari

Brooklyn

JF-Expert Member
Mar 17, 2009
1,459
284
Habari wana JF!

Nina changamoto ina nikabili hapa, nimeona niilete kwenu kwa ajiri ya ushauri. Nimenunua gari aina ya Toyota Mark II GX110 nyeupe, kwa bahati mbaya shemeji yenu (ambaye ndiye niliye mnunulia) hajaipenda rangi hiyo. Yeye anapendelea rangi ya dark blue ama light blue. Kwa sababu bado sijaifanyia registration, amesisitiza niipeleke kwa wachina wakaibadili rangi.

Binafsi I dont support the move, nimejitahidi kumshawishi aitumie kama ilivyo naona hanielewi. Hofu yangu mimi ni kwamba nahisi rangi original inayokuja na gari inadumu na kuwa ang'avu kwa muda mrefu bila kupauka kuliko hizi za kubadilisha.

Je hofu yangu ni sahihi? Naombeni ushauri kwa wenye uzoefu na hili.....ili nimwelimishe mrembo wangu!!!
 
Habari wana JF!

Nina changamoto ina nikabili hapa, nimeona niilete kwenu kwa ajiri ya ushauri. Nimenunua gari aina ya Toyota Mark II GX110 nyeupe, kwa bahati mbaya shemeji yenu (ambaye ndiye niliye mnunulia) hajaipenda rangi hiyo. Yeye anapendelea rangi ya dark blue ama light blue. Kwa sababu bado sijaifanyia registration, amesisitiza niipeleke kwa wachina wakaibadili rangi.

Binafsi I dont support the move, nimejitahidi kumshawishi aitumie kama ilivyo naona hanielewi. Hofu yangu mimi ni kwamba nahisi rangi original inayokuja na gari inadumu na kuwa ang'avu kwa muda mrefu bila kupauka kuliko hizi za kubadilisha.

Je hofu yangu ni sahihi? Naombeni ushauri kwa wenye uzoefu na hili.....ili nimwelimishe mrembo wangu!!!


Hakuana haja ya kubadilisha ilo gari litakuwa baya sana,
Rangi original imepigwa na mjapani sasa nyinyi mmeona haifai haya nendeni kwa wachina mtaniambia kama kagari hakajaja na manundu nundu kwenye body zima.

Kama mkeo ana hekima ya kukuelewa mueleweshe lkn kama ni kimeo(mtata , Asikii la mtu, mjuaji) mwache na ubishi wake
 
  • Thanks
Reactions: Eco
Hakuana haja ya kubadilisha ilo gari litakuwa baya sana,
Rangi original imepigwa na mjapani sasa nyinyi mmeona haifai haya nendeni kwa wachina mtaniambia kama kagari hakajaja na manundu nundu kwenye body zima.

Kama mkeo ana hekima ya kukuelewa mueleweshe lkn kama ni kimeo(mtata , Asikii la mtu, mjuaji) mwache na ubishi wake
NENDA ZAPATA KONA YA CHANGOMBE ROAD NA PUGU ROAD [Next to the old petrol station] utasuuzika na roho yako
 
Tatizo moja kubwa [hata mimi hunikuta] ni kwamba hatujui vyema ladha za wake zetu ila wao wanatuelewa kupita kiasa. Kama kweli ulidhamiria kumfurahisha mkeo basi mridhie rangi aitakayo.
 
Kwa mazingira ya Dar ya joto, gari yenye rangi nyeupe is very good kwani ina akisi mwanga badala kununurisha. Convince her that the colour is very good.
 
Lakini ukitumia rangi za siekens zitakaa kwa muda lakini ni ukweli kuwa rangi inayopigwa inafubaa mapema sana. dukuduku lako ni sawa kabisa. Halafu gari ukishapiga rangi kuiuza baadaye inaweza kuwa shida kidogo kama mnunuzi ni mtu anayejua gari.
 
Hakuana haja ya kubadilisha ilo gari litakuwa baya sana,
Rangi original imepigwa na mjapani sasa nyinyi mmeona haifai haya nendeni kwa wachina mtaniambia kama kagari hakajaja na manundu nundu kwenye body zima.

Kama mkeo ana hekima ya kukuelewa mueleweshe lkn kama ni kimeo(mtata , Asikii la mtu, mjuaji) mwache na ubishi wake


Wife anasema rangi nyeupe kwa sedan hataki, eti inaonekana kama taxi au car-rental!!
 
Mwambie kama hataki hiyo rangi anunue lake maana inaonekana hamkushirikishana kabla ya kununua gari na pia zawadi haina masharti, unless ulinunua kwa hela yake na yeye alikupa specs ambazo hukuzifuata

Kumbuka kwamba leo ukianza na rangi kesho atasema nyumba haipendi anataka nyingine au ubadili sebule iwe chumba na chumba kiwe choo na choo kiwe jiko ili jiko liwe sebule:confused:
 
Mh... kazi ipo sasa...
icon_rant.gif
 
Ni jambo la maana sana kumfurahisha mwenzio.
Kumbuka kufurahi kwake ndo raha ya familia yenu, huwezi kufurahi kamwe kama yeye hana furaha ya kweli.
Mpe adhari za kubadili na kama hajaridhia basi mfanyie atakacho
 
Mwambie kama hataki hiyo rangi anunue lake maana inaonekana hamkushirikishana kabla ya kununua gari na pia zawadi haina masharti, unless ulinunua kwa hela yake na yeye alikupa specs ambazo hukuzifuata

Kumbuka kwamba leo ukianza na rangi kesho atasema nyumba haipendi anataka nyingine au ubadili sebule iwe chumba na chumba kiwe choo na choo kiwe jiko ili jiko liwe sebule:confused:


Nilimshirikisha, though mwanzoni kwake color haikuwa issue, alichosisitiza tu ni kwamba isiwe silver coz anayoitumia ni silver so would prefer a different color!

Mambo ya wanawake si unajua.....they are so trendy!!
 
Habari wana JF!

Nina changamoto ina nikabili hapa, nimeona niilete kwenu kwa ajiri ya ushauri. Nimenunua gari aina ya Toyota Mark II GX110 nyeupe, kwa bahati mbaya shemeji yenu (ambaye ndiye niliye mnunulia) hajaipenda rangi hiyo. Yeye anapendelea rangi ya dark blue ama light blue. Kwa sababu bado sijaifanyia registration, amesisitiza niipeleke kwa wachina wakaibadili rangi.

Binafsi I dont support the move, nimejitahidi kumshawishi aitumie kama ilivyo naona hanielewi. Hofu yangu mimi ni kwamba nahisi rangi original inayokuja na gari inadumu na kuwa ang'avu kwa muda mrefu bila kupauka kuliko hizi za kubadilisha.

Je hofu yangu ni sahihi? Naombeni ushauri kwa wenye uzoefu na hili.....ili nimwelimishe mrembo wangu!!!

Wife anasema rangi nyeupe kwa sedan hataki, eti inaonekana kama taxi au car-rental!!

Mzee hapo kny blue pako sawa? au mi ndo kilaza hapa.....Sedan ni Universal set?

Back to the ushauri na maoni.

Ni vizuri kumridhisha mwenzio, lakini ufanye hivyo bila kuharibu zaidi! Is true, re-painting car, rangi hiyo inafubaa mapema sana compared na ile original mzee, pili unachangia kiasi fulani ku-wear & tear gari lako kabla hujalitumia kabisa!

Kubwa kuliko yote, ukija taka liuza hilo gari, hiyo itakuwa dosari namba moja! labda uwauzie washamba wa magari....hata ujieleze vipi, wateja watajua gari yako ilipata ajali au liliibwa........!

Rangi nyeupe tu me is fantastic mwimbishe my wife wako mzee aikubali rangi hiyo......!
 
Mzee hapo kny blue pako sawa? au mi ndo kilaza hapa.....Sedan ni Universal set?

Back to the ushauri na maoni.

Ni vizuri kumridhisha mwenzio, lakini ufanye hivyo bila kuharibu zaidi! Is true, re-painting car, rangi hiyo inafubaa mapema sana compared na ile original mzee, pili unachangia kiasi fulani ku-wear & tear gari lako kabla hujalitumia kabisa!

Kubwa kuliko yote, ukija taka liuza hilo gari, hiyo itakuwa dosari namba moja! labda uwauzie washamba wa magari....hata ujieleze vipi, wateja watajua gari yako ilipata ajali au liliibwa........!

Rangi nyeupe tu me is fantastic mwimbishe my wife wako mzee aikubali rangi hiyo......!

I may be wrong....nijuavyo mimi wauzaji wa magari japan (sina uhakika na kwingine) wanatenganisha aina ya magari kama sedan, SUV, hatchback n.k. na hiyo GX110 ipo under sedan!!

Nimeupenda ushauri wako....kwa sababu issue ya kuuzika gari ni muhimu sana hasa ukizingatia gari zenyewe hizi used unaitumia miaka 2 kisha unamtupia mwingine ahangaike nayo!!
 
Huyo mkeo kwanza ana gari nyingine,

kisha ummepatia mupya sasa hivi anadengua ivo kwa nini? angalia usije kuwa mtumwa wa mapenzi mkuu! stuka! kwa nini na nani alimdanganya kuwa gari nyeupe ni taxi? and whats wrong with it?

Mweleweshe hela umeipata kiugumu, so alearn kuappreciate

wakati mwingine nenda naye show room akachague...labda anapenda NADIA? ama RAV 4 anaogopa tu kukwambia kuwa hii gari sijaipenda?
 
Mi nafikiri ungeiuza na umuagizie nyingine yenye rangi aitakayo,nafikiri na kafaida juu utabaki nako..
 
Wife anasema rangi nyeupe kwa sedan hataki, eti inaonekana kama taxi au car-rental!!

Ungenunua jipya ungepata option ya rangi, mwambie rangi original ndio yenyewe, au na yeye kajichubua?

Mwambie kama hataki hiyo rangi anunue lake maana inaonekana hamkushirikishana kabla ya kununua gari na pia zawadi haina masharti, unless ulinunua kwa hela yake na yeye alikupa specs ambazo hukuzifuata

Kumbuka kwamba leo ukianza na rangi kesho atasema nyumba haipendi anataka nyingine au ubadili sebule iwe chumba na chumba kiwe choo na choo kiwe jiko ili jiko liwe sebule:confused:

Mwanamke huwezi mridhisha, anabadilika kila wakati anapopata MP

Nilimshirikisha, though mwanzoni kwake color haikuwa issue, alichosisitiza tu ni kwamba isiwe silver coz anayoitumia ni silver so would prefer a different color!

Mambo ya wanawake si unajua.....they are so trendy!!

Sasa kama alikuwa na gari nyingine hii ya nini? Nyie ndo mnatuongezea msongamano mjini.
 
Huyo mkeo kwanza ana gari nyingine,

kisha ummepatia mupya sasa hivi anadengua ivo kwa nini? angalia usije kuwa mtumwa wa mapenzi mkuu! stuka! kwa nini na nani alimdanganya kuwa gari nyeupe ni taxi? and whats wrong with it?

Mweleweshe hela umeipata kiugumu, so alearn kuappreciate

wakati mwingine nenda naye show room akachague...labda anapenda NADIA? ama RAV 4 anaogopa tu kukwambia kuwa hii gari sijaipenda?


Point taken mkuu!!

Si unajua najitahidi kum handle ki gentleman asishikwe na tamaa!! Wakuu tatizo nimeoa mwanamke mrembo sana na anayedeka basi inabidi kila kitu tujadiliane ili nisimkwaze mama mtoto wangu!!
 
Back
Top Bottom