Nenda bomani ila hakikisha kabla ya vyote mama watoto anajua na ukoo wenu best usije ukaingia kingi naukatengwa kila mahaliì0Wanazengo umofia.
Mwenzenu nahitaji ushauri nataka kuoa mke wa pili na Mimi ni mkristo ushauri wenu ni wa muhimu sana.
#Uzi kileleni
Mzee kwani waislaimu maandiko yao yanasemaje kuhusu kuoa?Kama vipi Fanya uoe tu ili tujue wazi kuwa unazini, kuliko kujifichaficha utatupa tabu ya kukufuatilia mienendo yako, Mungu atajua akuhukumu vipi maana maandiko yanasema mke mmoja hadi kifo