Mjini kuna mambo mengi aiseMmmh! Kujua kwa aina hiyo??? [emoji43][emoji43][emoji43]
kuna uwezekano lile neno la kujuana sisi tumelichukulia juu juu... labda kuna maana nyingine...!!!!Unaetaka kumuoa n yy au n
Mama yake??
Tuanzie hapo first??
Hivi unajua sisi watu wa Dodoma siku hizi tunawaita Dar ndo mkoani?Vijana wa mikoani mna shida,sasa kutongoza hamjui mnakuja kulia hapa JF na kama yuko Dar kijana wa mkoani sahau. Huku lazima aliwe papuchi kisha atasahau na hawezi rudi tena.
Yawezekana jamaakuna uwezekano lile neno la kujuana sisi tumelichukulia juu juu... labda kuna maana nyingine...!!!!
Eti eeh!Badala ndo angetumia hyo opportunity ya kujuana na mama yake
07377%73367Nipe namba zake nikurahisishie kazi.