Kwahiyo siyo wewe tena?.Yuko huko ruhangwa sijui luhanga kwa akina majaliwa
MakoroboiMdau:
Nataka kuhamia mkoa wa mwanza,hasa maeneo ya mjini ni shule gani ya sekondari ungenishauri nihamie.
Nahitaji pia kijiongezea kipato kwa kuangalia furusa zitakazokuwepo.
Huna bayaaCCM Kirumba School of Nyapu. Hasa madarasa ya usiku.
Heboo ana bwana tena?, nilijua yupo singo?...nimpe mchongo.Mimi nimetulia hapa kwangu,huyu ni rafiki yangu na bwanake
Shule zilizoko mjini kati ni Pamba sec na Mwanza Sec.Mimi nimetulia hapa kwangu,huyu ni rafiki yangu na bwanake
Nimekumbuka mengi🙌Makoroboi
Kumbe muomba ushauri ni mpuuzi tuuKumakonyo
Shule na fursa! Unataka Bording au Day?Mdau,
Nataka kuhamia mkoa wa Mwanza, hasa maeneo ya mjini. Ni shule gani ya sekondari ungenishauri nihamie?
Nahitaji pia kujiongezea kipato kwa kuangalia furusa zitakazokuwepo.