Ushauri: Nataka kuhamia mkoa wa Mwanza

Ushauri: Nataka kuhamia mkoa wa Mwanza

Niwaheri

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
3,481
Reaction score
5,357
Mdau,

Nataka kuhamia mkoa wa Mwanza, hasa maeneo ya mjini. Ni shule gani ya sekondari ungenishauri nihamie?

Nahitaji pia kujiongezea kipato kwa kuangalia furusa zitakazokuwepo.
 
Mdau,

Nataka kuhamia mkoa wa Mwanza, hasa maeneo ya mjini. Ni shule gani ya sekondari ungenishauri nihamie?

Nahitaji pia kujiongezea kipato kwa kuangalia furusa zitakazokuwepo.
Shule na fursa! Unataka Bording au Day?
 
Back
Top Bottom